Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchungu wa uzazi unaisha unapopata katoto ukikatizama unatabasamu, sasa mapenzi kovu lisilo isha labda uwe na akili nusu utapuuzia!Maumivu yake hayaelezeki kama uchungu wa uzazi [emoji1787]
[emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]Tena nyie yanawaumizaga kikuda kishenzy yan hata usiongee
Mie mzima wa afyaUlipotea sana khantwe..Mzima lakini.
Kuna siku hicho kisanga kilinikuta nikaishia kuitukana kamba nikaenda zangu kusuuza nguo maisha yakaendelea
Acha fiksi basi kijana[emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi makaveli mimi, makaveli huyu huyu..
Labda mama yangu mzazi anikasirikie, hapo roho inakuwa juu juu..
Sio mtoto wa mtu tumekutana tu duniani, yeye sio pekee yake ulimwenguni kusema baada yake hakuna mwingine tena..
Sijui, sijui.. Kama itakuja kutokea labda
Na kwa hapa nilipofikia, mtoni, namtukana mamba vizuri tu.. Na mto nauvuka kibabe[emoji13][emoji23]
🤓🤓🤓⚠️Ni mwenyewe sielewi labda tuyaulize mapenzi yenyewe yanasemaje🎤🎤
Shauri yako km huamini, sikushikii bunduki ili uamin.Acha fiksi basi kijana
[emoji124][emoji124][emoji124]Achana na bunduki sitaki unishikie hata manati Chief
Kheeeh... Jaman unakaid agizo la Mungu tena...Afu we jamaa bhana kwa kupenda msererekoo😀😀kwahiyo unataka ulalie mulemule 🤪🤪🤪hatari sana sheikh
Nishaachana na mapenzi nafanya vitu vingine
tatizo mnaleta njaa sanaNimejaribu kutafakari kwa upana na maunga yake nikagundua yanaumiza mno.
Ohooo nilisahau kuwasalimu.Habari zenu.
Haaa haaa haaBasi maumivu ya mapenzi hayajawahi kuelezeka aise