scientist_tz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 605
- 899
Nmeanza mwaka vibaya mapenz yanaumiza nyiee achenii ... Wanawake viumbe tatanishiii.... Ntajizuia kulewa na kunywa pombe ila mapenz yanaumaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hakuna cha mwanamke wala mwanaume....Asante mkuu ila inabd mjtafakar !!! Nyie wanawake
Mazoea ndo yanakufanya uumie .. Ushazoea kila ukiamka unamtxt sasa kimbembe mmeachana hata simu unao nzitoPole sana mkuu niliwahi kuhoji hichi kitu hapa
Swali: Kwa nini ukimpenda mtu, baadae mkiacha huwa inauma/unaumia sana?
exactly. [emoji122]mapenzi hayaumizi, watu ndo wanaumiza.