Mapenzi yanaumiza! Wachache wanayafurahia

Kuachwa kuachwa.....
Kuachwa ni shughuli pevu....
Mbaya zaidi kwa yule ulompenda
Yeye ananenepa wewe unakonda
Kwa mawazo oooh x2

Pole sana mkuu! Yana mwisho hilo nalo litapita tu.
 
Asante mkuu ila na Mimi sitakonda kisa mapenz
 
Kuweni makini wadada wa siku hizi wanaloga unaweza ukafikiri ni mapenzi kumbe kakuweka kwenye chupa
 
hahahahahaaa yani ww bado unawapenda hawa wanawake???? unachelewa kufanya mambo yako kijana[emoji38] wenyew washakwambia sa hv wanataka helaaa
 
Sure mkuu colietha ushawah umizwa ulifanyaje ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…