siku hizi hata kuloga nshaweza.
Hivi mapenzi yako na mateka yana besdei ngapi?
Jamani mimi nina mchumba wangu mwaka wa 7 sasa,kwetu hajulikani rasmi na nina mpango siku moja nikamtambulishe,lakini inavyoonesha home hawamkubali sana na mimi mwenyewe wazo la kumuoa nahisi linafifia.Kumuacha naogopa coz kuna siku alinambia siku nikimuacha ANAJIUA so sielewi jamani NAOMBENI MAWAZO YENU NIFANYE NINI???
muda walishapoteza miaka 7 unaijua wewe?Just put ya feet in her shoose!
Usiwasingizie ndugu zako kuwa hawamtaki tatizo unalo wewe mwenyewe as huna uhakika kama unataka kumuoa au la!
Kama walivyoshauri wengine hapo juu ni bora uamue moja kuliko kuendelea kumpotezea muda binti wa watu na ni bora umwache kuliko umwoe alafu uanze kuhangaika na wengine.
Jamani mimi nina mchumba wangu mwaka wa 7 sasa,kwetu hajulikani rasmi na nina mpango siku moja nikamtambulishe,lakini inavyoonesha home hawamkubali sana na mimi mwenyewe wazo la kumuoa nahisi linafifia.kumuacha naogopa coz kuna siku alinambia siku nikimuacha ANAJIUA so sielewi jamani NAOMBENI MAWAZO YENU NIFANYE NINI???
muda walishapoteza miaka 7 unaijua wewe?
Ahahahaaa.Swali hili jamani!!!wewe smile mchokozi..Mimi kama mtu hueleweki siku moja kubwa sana na kugegeda ndo sahau kabisaa.. kwanza mpk tuombe ruhusa kwa mchungaji na baba yangu Mwita Maranyauchumba gani mtu hajulikani kwenu.mi navojua mchumba ni yule ambae umeenda kwao na pande zote zimeridhia mfunge ndoa.huyo ni mpenzi tu wa kimtaa . miaka 7 duh kuna watu wana moyo wa chuma mi masaa 12 tu sikai,mimi nikishaanza kuhesabu sekunde ikifika ya 57 husomeki naanza kusogeza mguu 59,60 huyoo
unigegede miaka 7 uje unitose , lazima niloge kikojoleo chako
shosti niambie umegegedwa miaka mingapi wewe?
Kuna ile kitu inaitwa kumuacha mtu taratibu mkuu...huijui weye??? Tumia hiyooJamani mimi nina mchumba wangu mwaka wa 7 sasa,kwetu hajulikani rasmi na nina mpango siku moja nikamtambulishe,lakini inavyoonesha home hawamkubali sana na mimi mwenyewe wazo la kumuoa nahisi linafifia.Kumuacha naogopa coz kuna siku alinambia siku nikimuacha ANAJIUA so sielewi jamani NAOMBENI MAWAZO YENU NIFANYE NINI???
Tumebakia wachache hommie..... Poor Kid!
Sema wewe shemeji..Sie wadada tukisema tunaambiwa too choosy ndio maana manungayembe
Jamani mimi nina mchumba wangu mwaka wa 7 sasa,kwetu hajulikani rasmi na nina mpango siku moja nikamtambulishe,lakini inavyoonesha home hawamkubali sana na mimi mwenyewe wazo la kumuoa nahisi linafifia.Kumuacha naogopa coz kuna siku alinambia siku nikimuacha ANAJIUA so sielewi jamani NAOMBENI MAWAZO YENU NIFANYE NINI???
hivi umesahahu kwamba wanaume wa siku hizi ni wanaume suruali??
namshukuru sana Mungu nilizaliwa na kuolewa zamani nikapata mume.
jema zaid wa ukweli yuko juu kiume na hata wewe ma swtlo ni mwanaume kifua chuma sasa hawa ambao jando hawakwenda aibu tupu..............