Mapenziii au wizi????

Huo ni wizi kwani hata mie nishapokea e.mail za aina hiyo kibao!! Mpaka sasa natamani kuacha anuani yangu ya e-mail usiendelee kuwasiliana naye utakuja juta weye
 
Hao matapeli ni sana, wengi wanajifanya wanatokea Liberia au Senegal, ni waongo tu. Mtandao unawafahamu hao watu kama scammers hivyo ukiwa na tamaa wanakuliza kikweli.
 
Kuna mchiz wangu pia ilitokea kama hvyo, demu alimwambia yupo Japan ni yatima ila wazaz wake wamemwachai usd 25 mil, ila kuna kesi za baba yake kuhusu hizo hela na demu kwa sasa haruhusiwi kutoka nje ya nchi, rafiki yangu akaambiwa atume a/c namba yake ili demu aziweke hizo pesa humo halafu demu atoroke kule aje kuishi bongo na mshkaji na ikidi waoane ili kufuta soo kuwa mali ziwe kwa jina la mshkaji. Wajanja tukamtahadharisha jamaa mapema kuwa akizubaa ataliwa.
So 1st Bort achana kabisa na huyo mtu na mtumie email mwambie kabisa yeye ni mwizi.
 
Asante kwa mchango mshkaji wangu.
 
Huyo ni tapeli mkuu..ht mm ishawahi nitokea..tna zilitumwa mail nyingi kutoka kwa watu wa namna hyo cha ajabu zte zilikuwa na theme moja..nilichofanya ni kuwablock wte
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…