First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
habari wakuu,
Siku mbili tatu hizi kuna binti nimekuwa nikichati nae kupitia e.mail, yeye yupo senegal.
Katika mazungumzo/kuchati huku kuna hali isiyo ya kawaida anataka kuja nayo kwangu, huenda imekutokea wewe au kwa vyovyote lakini mimi yamenifikia! Naomba nikushirikishe tujadili hili ili tukigundua kuwa ni mwizi wana jf tuwe macho.
huyu binti alini PM kupitia humu, kabla sijamjibu nikashangaa tayari kashapigwa ban. Lakini kwa kuwa alikuwa ameniachia email nikamjibu.
Mwanzoni alidai eti alikuwa anatafuta rafiki lakini baadae akaanzisha mada nyingine kuwa eti yeye huko alipo yupo kama mkimbizi na wapo makambini kiasi cha kutokuwa hata na uhuru.
Anadai yeye ni mtoto pekee wa Dr mmoja aliekuwa tajiri ambae alifariki dunia. Kwa muda huu anadai anahitaji sana kuwa huru kwani huko anahisi kama yupo kifungoni na anahitaji sana kuwa huru.
Anasema ametokea kuniamini sana hivyo nimsaidie kwa namna yeyote ili aje Tz ikiwezekana awe mpenzi wng, she said that she has never been married and she is single.
Msaada alioniomba zaidi ni wa kumsaidia kumtolea pesa zake akaunti aliyokuwa amewekewa na her late father $7.5 millions kwa jina lake nimhamishie kwenye akaunti yangu ili nimtumie tayari kwa yeye kuja kuishi tz
Machale yananicheza sana, anadai kabla ya kufanya chochote alimwomba Mungu na akaonyeshwa eti mimi ndo msaada wake. Kanitumia picha kibao kwenye E.mail yangu kunivutia na uzuri wake. Na kiukweli picha nilizopokea ni kali kinoma.
Kanitumia maelezo yote kuhusu namna nitakavyoweza kuhamisha hizo pesa kwenye akaunt yangu, kanipa na akaunti namba ya babake pamoja na e.mail ya bank manager.
Maswali yanayonipata::
1. Huyu ni mwanamke kweli?
2. Huyu anaongea ukweli?
3. Kanipatia namba ya simu ya mtu ambae ye anadai ni mchungaji wake kwa hiyo nimpigie ili aniunganishe nae kwani yeye hana uwezo wa kunipigia, sasa inakuaje anaweza kuwasiliana kupitia email ashindwe kunipigia?
4. Nimemwomba ampe maelekezo hayo huyo pasta wake ili amsaidie kutolea hizo pesa, lakini anadai eti jamaa hataweza kisa anawasaidia wengi, sasa unaonaje hiyo?
Naombeni mawazo yenu, huyu ni mpenzi au mwizi??
ASANTENI,
Mie Mzaliwa wa Kwanza
Siku mbili tatu hizi kuna binti nimekuwa nikichati nae kupitia e.mail, yeye yupo senegal.
Katika mazungumzo/kuchati huku kuna hali isiyo ya kawaida anataka kuja nayo kwangu, huenda imekutokea wewe au kwa vyovyote lakini mimi yamenifikia! Naomba nikushirikishe tujadili hili ili tukigundua kuwa ni mwizi wana jf tuwe macho.
huyu binti alini PM kupitia humu, kabla sijamjibu nikashangaa tayari kashapigwa ban. Lakini kwa kuwa alikuwa ameniachia email nikamjibu.
Mwanzoni alidai eti alikuwa anatafuta rafiki lakini baadae akaanzisha mada nyingine kuwa eti yeye huko alipo yupo kama mkimbizi na wapo makambini kiasi cha kutokuwa hata na uhuru.
Anadai yeye ni mtoto pekee wa Dr mmoja aliekuwa tajiri ambae alifariki dunia. Kwa muda huu anadai anahitaji sana kuwa huru kwani huko anahisi kama yupo kifungoni na anahitaji sana kuwa huru.
Anasema ametokea kuniamini sana hivyo nimsaidie kwa namna yeyote ili aje Tz ikiwezekana awe mpenzi wng, she said that she has never been married and she is single.
Msaada alioniomba zaidi ni wa kumsaidia kumtolea pesa zake akaunti aliyokuwa amewekewa na her late father $7.5 millions kwa jina lake nimhamishie kwenye akaunti yangu ili nimtumie tayari kwa yeye kuja kuishi tz
Machale yananicheza sana, anadai kabla ya kufanya chochote alimwomba Mungu na akaonyeshwa eti mimi ndo msaada wake. Kanitumia picha kibao kwenye E.mail yangu kunivutia na uzuri wake. Na kiukweli picha nilizopokea ni kali kinoma.
Kanitumia maelezo yote kuhusu namna nitakavyoweza kuhamisha hizo pesa kwenye akaunt yangu, kanipa na akaunti namba ya babake pamoja na e.mail ya bank manager.
Maswali yanayonipata::
1. Huyu ni mwanamke kweli?
2. Huyu anaongea ukweli?
3. Kanipatia namba ya simu ya mtu ambae ye anadai ni mchungaji wake kwa hiyo nimpigie ili aniunganishe nae kwani yeye hana uwezo wa kunipigia, sasa inakuaje anaweza kuwasiliana kupitia email ashindwe kunipigia?
4. Nimemwomba ampe maelekezo hayo huyo pasta wake ili amsaidie kutolea hizo pesa, lakini anadai eti jamaa hataweza kisa anawasaidia wengi, sasa unaonaje hiyo?
Naombeni mawazo yenu, huyu ni mpenzi au mwizi??
ASANTENI,
Mie Mzaliwa wa Kwanza