Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ahGaza ni pazuri kuliko Dar...kweli sisi tupo duniani kumaliza hewa tu
Hao unaowaita wanaume wamekimbia wamejificha kwenye mahandaki kama panya!Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Waambie hao wanaume waache kujificha kwa raia na watotoNimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Kwani na wewe ni mwanamke?, Peleka kende zako mbele basi. Hamas walivyowateka watoto wadogo na kuwachoma Moto ndani ya nyumba walikuwa wake wenzako.Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Hamas walipina na wanaume wenzao au waliua raia na watotoNimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Safi sanaaaaHadi nimeogopa, Israel kwa kweli sio ya kuchokozwa, kha! Yaani wakazi wa Palestina wataikumbuka hii miaka 100 ijayo, jinsi walivyoponzwa na magaidi ya kidini.
Na hapo bado wanasema kuna operesheni, wajuvi wa mambo mtujuze nini kingine kimebaki cha kupigwa hapa...Hadi misikiti imesambaratishwa, wababe wa ugaidi wa huo ukanda akina Iran wanaangalia tu hawana la kufanya.
Chondechonde rais wa nchi yangu nakuomba kwenye shobo zako usiwahi kuingia ugomvi na Israel..... Tugombane tu huku Afrika lakini shobo zisikutume kule, wale ni namba nyingine.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Photos show scale of the destruction of Israel air attacks on Gaza
Hundreds of thousands of Palestinians have been displaced across Gaza due to Israel’s air raids after Hamas’s attack.www.aljazeera.com
Utakuwa mchawiSafi sanaaaa
Hamas wamewateka raia ili kubadilishana na wafungwa wao waliopo katika magereza ya Israel. Wanaolengwa na Hamas ni wanajeshi wa israeli na miundombinu ya kijeshi. Israel yeye amelenga raia 100% anapigana vita unprofessional kabisa.Hamas walipina na wanaume wenzao au waliua raia na watoto
Mateka wa israeli hawajauwawa wamechukuliwa kama mbinu ya kutaka kubadilishana na wafungwa wa kipalestina katika magereza yaliyopo israeli.Kwani na wewe ni mwanamke?, Peleka kende zako mbele basi. Hamas walivyowateka watoto wadogo na kuwachoma Moto ndani ya nyumba walikuwa wake wenzako.