Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hawajifichi ila hii nisababu inayotolewa na israeli kutokana na kushindwa kuwadhibiti hao wanangambo wa hamas. Tuliambiwa hapa kuwa wataanza uvamizi wa ardhini kuwafuata ndani ya Gaza hao wanaoitwa magaidi kiko wapi mpaka sasa? Israel anapigana vita unprofessional kabisa yani sikutegemea.Waambie hao wanaume waache kujificha kwa raia na watoto
Wewe huna akili hivi ndani ya nchi yako unapewa umeme na maji na wakiamua wanakata na hakuna kutoka mpaka nchi ya jirani yako iamuwe unaona hayo ni maisha? Wapalestina wapo gerezani ndani ya nchi yao wenyewe wapambane tu ni heri wafie hapo tu hakuna namna.Palestine niwapumbafu sana wanawaficha hao migambo wa hamas..katka makaz yawatu wanategemea israel iwachekee nahuku wameyaanzisha wenyewe..nakumbe umeme maji navitu kibao walikuwa wanapewa na israel alafu ndo kumchokoza wacha wachapwe chapwe akili zikae sawa
Hapo ndipo penyewe ili wapate maji lazima wafie humohumo,ili umeme uwake lazima wafie humohumo ili wapate makaburi ya kuzikwa lazima wafie humohumo kwenye nchi yao.Wewe huna akili hivi ndani ya nchi yako unapewa umeme na maji na wakiamua wanakata na hakuna kutoka mpaka nchi ya jirani yako iamuwe unaona hayo ni maisha? Wapalestina wapo gerezani ndani ya nchi yao wenyewe wapambane tu ni heri wafie hapo tu hakuna namna.
Jinga sana hawa Wanamgambo wa Hamas!Halafu cha kusikitisha,wakipigwa walipoficha hizo rockets hao wa kuitwa wanaume wanatoka wamebeba picha za maiti za watoto na kuzitengenezea propaganda za kuuliwa watoto huku wakijua kabisa wanawatanguliza watoto na wamama kama ngao zao.Palestina maisha ya kina mama na watoto hayana thamani kabisa.
Bhas wapambane..waendelee kufaWewe huna akili hivi ndani ya nchi yako unapewa umeme na maji na wakiamua wanakata na hakuna kutoka mpaka nchi ya jirani yako iamuwe unaona hayo ni maisha? Wapalestina wapo gerezani ndani ya nchi yao wenyewe wapambane tu ni heri wafie hapo tu hakuna namna.
Yalipokuwa yanafanyika Ukraine mlikuwa mnamshangilia Putin na kudai wanajeshi wa Ukraine walikuwa wakiwatumia raia kama ngao sasa yanapofanyika kwa wapalestina mnalalamika.Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Halafu mziki unakuwaga kwa kina mama na watoto. Nadhani ndio wahanga namba moja wa vitaAiseeš...vita haifai wandugu
Acha ujinga wewe pimbi! Nani alikwambia kwamba Chadema Wana lengo la kuvuruga amani?nikiangalia hizi picha nazidi kuichukia chadema kwa kutaka kuichezea amani ya nchi
Gaza ni pazuri kuliko Dar...kweli sisi tupo duniani kumaliza hewa tu
Omera tumpongeze pia Urusi kwa kupiga majengo na kuua raia huko Ukraine maana naona scenes zinafanana.Hadi nimeogopa, Israel kwa kweli sio ya kuchokozwa, kha! Yaani wakazi wa Palestina wataikumbuka hii miaka 100 ijayo, jinsi walivyoponzwa na magaidi ya kidini.
Na hapo bado wanasema kuna operesheni, wajuvi wa mambo mtujuze nini kingine kimebaki cha kupigwa hapa...Hadi misikiti imesambaratishwa, wababe wa ugaidi wa huo ukanda akina Iran wanaangalia tu hawana la kufanya.
Chondechonde rais wa nchi yangu nakuomba kwenye shobo zako usiwahi kuingia ugomvi na Israel..... Tugombane tu huku Afrika lakini shobo zisikutume kule, wale ni namba nyingine.
Photos show scale of the destruction of Israel air attacks on Gaza
Hundreds of thousands of Palestinians have been displaced across Gaza due to Israelās air raids after Hamasās attack.www.aljazeera.com
CC: Mjaluo wa Kibera MK254Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.