Uchaguzi 2020 Mapigo matatu kwa Bernard Membe katika harakati zake za kuitafuta Ikulu

... ndio hiyo simple majority aliyekuzidi hata kwa kura moja ndiye mshindi; yaani wewe una 17% na yeye ana 17.0001% yeye ni mshindi. Mkapa ndiye aliyefuta ile ya at least 50%.
Sijui walikuwa wanaogopa kuangushwa? Hawajiamini!
 


Non Sense.
 

Kumbukeni kuwa Membe mwenyewe was quoted as saying " Ukiwa kachero ni kachero mpaka kaburini" . Ni kachero wa ccm mpaka kufa!!!
 
Ni Membe yupi unayemzungumzia wakupata 38 % ? Akipata 8 % nishitue.

Labda kuna Membe mwingine atafufuka kutoka wafu. Huyo tuliyenaye hata hiyo 8% ni kubwa sana kuifikiria tu
 
umenichekesha kwenye pigo la kwanza hakika yajayo yanafurahisha
 
Magu anapita kwa kishindo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Basi kwa kupitia dhana hiyo Tundu Lissu atakuwa anasubiri kuapishwa kama Rais mteule wa JMT.

Watu mko vizuri sana kujipa matumaini ambayo mioyo yenu inakataa. Full Internal Contradiction
 
Kwa katiba ipi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…