Mapigo ya moyo kuongezeka, kujisikia vibaya na kuishiwa nguvu ninapotembea kwenye mwinuko.

Mapigo ya moyo kuongezeka, kujisikia vibaya na kuishiwa nguvu ninapotembea kwenye mwinuko.

exertional dyspnea, machief wamemaliza juu hapo.. kila la heri.
 
Hapo hakuna ramli ni lazima uende kumuona daktari tu.

Hizo ni dalili za Congestive Cardiac Failure (CCF) moyo kushindwa kufanya kazi inavyopaswa kutokana na sababu fulani.

Dalili za upungufu wa damu. Leo Hb

Dalili za mapafu kuwa shida aidha kujaa maji.. Pleural effusion.

Dalili ya shinikizo la damu ....Hypertension

Ukifanyiwa vipimo kadhaa kama Chest xray,BP check up, Hb level, ECHO,ECG, RFT, LFT, CBC tatizo linaweza kujulikana
 
Unapata shida kupumua ukilala chali? unaishiwa hewa usiku? Hizo ni dalili za moyo kufeli, Nenda hospitali kubwa fanya
-chest x ray : waangalie kama kuna dalili za moyo kuongezeka ukubwa au mapafu kujaa maji
- Electrocardiogram : waone kama kuna dalili zozote za misuli ya moyo kupungukiwa na supply ya damu
- Echocardiogram : waangalia kama kuna mabadiliko yoyote kwenye maumbo ya chemba za moyo

Uchumi ukiruhusu fanya pia
- Renal function test : kuona kama figo zinafanya kazi vizuri
-liver function test :kuona kama ini lipo vizuri
-full blood picture :kuona kama kuna dalili za upungufu wa damu ama infection zozote kwa kuangalia idadi ya seli nyeupe za damu.
Mkuu nashukuru sana kwa elimu yako japokuwa sio mimi mwenye uzi. Asante.
 
Mda mwingine ni heri ukanyamaza tu kimya na kuwa msomaji
Hapana, she is right you know, kwani ujauzito huweza leta mabadiliko mengi mwilini (physiologic changes) na huweza sababisha vitu kama upungufu wa damu, shinikizo la damu, pressure kushuka, kisukari na kadhalika na hizo dalili zinaendana kabisa na hizo condition.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hio ni blood pressure mkuu wahi tu hospital uka cheki
 
Unapata shida kupumua ukilala chali? unaishiwa hewa usiku? Hizo ni dalili za moyo kufeli, Nenda hospitali kubwa fanya
-chest x ray : waangalie kama kuna dalili za moyo kuongezeka ukubwa au mapafu kujaa maji
- Electrocardiogram : waone kama kuna dalili zozote za misuli ya moyo kupungukiwa na supply ya damu
- Echocardiogram : waangalia kama kuna mabadiliko yoyote kwenye maumbo ya chemba za moyo

Uchumi ukiruhusu fanya pia
- Renal function test : kuona kama figo zinafanya kazi vizuri
-liver function test :kuona kama ini lipo vizuri
-full blood picture :kuona kama kuna dalili za upungufu wa damu ama infection zozote kwa kuangalia idadi ya seli nyeupe za damu.
Nadhani angiogram ni muhimu sana waangalie LMCA, LAD, ramus intermedius, LCx, RCA etc
 
Unapata shida kupumua ukilala chali? unaishiwa hewa usiku? Hizo ni dalili za moyo kufeli, Nenda hospitali kubwa fanya
-chest x ray : waangalie kama kuna dalili za moyo kuongezeka ukubwa au mapafu kujaa maji
- Electrocardiogram : waone kama kuna dalili zozote za misuli ya moyo kupungukiwa na supply ya damu
- Echocardiogram : waangalia kama kuna mabadiliko yoyote kwenye maumbo ya chemba za moyo

Uchumi ukiruhusu fanya pia
- Renal function test : kuona kama figo zinafanya kazi vizuri
-liver function test :kuona kama ini lipo vizuri
-full blood picture :kuona kama kuna dalili za upungufu wa damu ama infection zozote kwa kuangalia idadi ya seli nyeupe za damu.
[emoji106]
 
Asante mkuu nilipima hb vipimo vikaomesha imeshuka hadi 6.6!
Sasa natumia vidonge vya folic acid, hemovit syrup na pia natumia juisi ya lozera kama nilivyoshauriwa na daktari wangu.

Tatizo langu ni kwamba nina stomach ulcers ambazo zilibreed kwa ndani na kunisababishia kadhia hii.
 
Fanya vipimo vifuatavyo: Full Blood Picture (CBC), Urinalysis, Kidney Function Test, Lipid Profile, Chest Xray, ECG, ECHO, TMT, Liver Function Test, Abdominal and Pelvic Ultrasound, SerumSodium, Potassium and Vitamin D. Titafute baada ya kupata majibu.
Mbona umelimbikiza vipimo vingi kiasi hiki?, what are your differentials?
 
Inawezekana una upungufu wa red blood cells hivyo kufanya zoezi la kusafirisha oxygen kwenye mwili wako kufanyika kwa taabu. Nenda hospitali ukapimwe Hb (Haemoglibin) Kwa mwanaume counts ya Hb huanzia 13.5 to 17.5 grams per deciliter
Na kwa mwanamke huanzia 12.0 to 15.5 grams per deciliter.
Ukikutwa una low haemoglobin count utatakiwa kutumia vidonge vya FEFOL kama vile wanavyopewa wanawake wajawazito au pia vidonge vya Vitamin B complex.
Unapokuwa na kiwango kidogo cha usafirishaji wa oxygen kwenye mwili wako, ubongo hukubwa na upungufu wa hewa safi hivyo kukufanya ujisikie kizunguzungu.
Pia unapotembea, misuli inahitaji oxygen kuweza ku oxidise glucose ili kuzalisha enargy. Upungufu wa oxygen kwenye misuli hufanya Pyruvic acid izalishwe kwa urahisi na kwa kiasi kikubwa kutokana na oxygen debt kuongezeka kwa urahisi.
Kukabiliana na hayo yote, mapigo ya moyo huongezeka ili kufanya damu izunguke mara nyingi ndaniya muda mfupi ili kuweza kusambaza oxygen mwilini kukabiliana na upungufu huo.
What is the most likely diagnosis based on few information given, are you suggesting anaemia?
 
Mkuu nenda hospital kajaribu kuchek ukubwa wa moyo...hilo tatizo mama yangu alikuwa nalo Na dalili ulizozitaja Ni hzohzo.Wahi hospitali ili uanze tiba mapema Hzo Ni dalili za moyo kuwa mkubwa japo ukiwahi matibabu unapona kabisa.
NI HOSPITAL GANI MKUU MAMA YAKO ALIENDA?NA JE ALIPONA KWA KUMEZA DAWA AU ILIKUAJE?
 
Yupo sawa unapokuwa mjamzito kujisikia hivyo ipo sana haswa mimba ikiwa changa kwa baadhi

Hapana, she is right you know, kwani ujauzito huweza leta mabadiliko mengi mwilini (physiologic changes) na huweza sababisha vitu kama upungufu wa damu, shinikizo la damu, pressure kushuka, kisukari na kadhalika na hizo dalili zinaendana kabisa na hizo condition.

Shida ni kua amejuaje kama ni wa kike???
Ndio maana ikaja mambo mengine ni vema kunyamaza maana kuleta jokes kwenye jukwaa kama hili lzm tukushangae.
 
Asante mkuu nilipima hb vipimo vikaomesha imeshuka hadi 6.6!
Sasa natumia vidonge vya folic acid, hemovit syrup na pia natumia juisi ya lozera kama nilivyoshauriwa na daktari wangu.

Tatizo langu ni kwamba nina stomach ulcers ambazo zilibreed kwa ndani na kunisababishia kadhia hii.
Nisaidie namba yako ya watsap
 
Back
Top Bottom