Mapinduzi Cup 2015, Special thread..

Mapinduzi Cup 2015, Special thread..

Hii thread ilianzishwa kisharishari na wachangiaji wengi mmeonesha kuikosea heshima Mtibwa Sugar.
Kwani ilikuwa ni lazima Simba ishinde? Pamoja na Simba kutokuwa nzuri kwa siku za karibuni, tukubaliane kuwa Mtibwa iko vzr kipindi hiki kwa hiyo wakikuwahi goli mapema na jinsi wanavyokaba njia, kuondoka na ushindi si ajabu
 
Last edited:
Gafla vipoint sina nmerudi jangwani ee
Nmeshindwa kufika final kwa penalty nmetoka ee
Busungu penalt amekosa mwaishuya ndo hatareeee
Kamusoko limebaki jina mirasta ukanyoeeee
Oooh wale shabiki zangu walonisifu kwa maneno matam
Leo maadui zangu ni mitusi kwa instagram
Manji boss wangu eti nae hanifaham
Hata jeny muro nikimpigia ananifokea kama salamu
Na magazeti ya nyumban kwa kukusabai siunajuaga
Utasikia tafaran eti simba kwa mtibwa wamemwaagwa
Na venye tulivo wanyonge tabia ya kuwajibu hatunaga
Kama naziona zile 5 za zamani tulizo wafungaga
Ooh nayosema yana mana sababu hakuna anaejua kesho
Anayepanga ni rabana ila ameificha ni komfidesho
Ukisali omba sana jeny muro asije kuwa kochekesho
Mana rafiki wa Jana ndio adui mkubwa keshoo.......



Wakuu zangu.. cnjona wa ukae mkolaj Frank Wanjiru yahoo joefrancy Makoye Matale n.k mnaonaje kipaji cha huyu kijana?
 
Gafla vipoint sina nmerudi jangwani ee
Nmeshindwa kufika final kwa penalty nmetoka ee
Busungu penalt amekosa mwaishuya ndo hatareeee
Kamusoko limebaki jina mirasta ukanyoeeee
Oooh wale shabiki zangu walonisifu kwa maneno matam
Leo maadui zangu ni mitusi kwa instagram
Manji boss wangu eti nae hanifaham
Hata jeny muro nikimpigia ananifokea kama salamu
Na magazeti ya nyumban kwa kukusabai siunajuaga
Utasikia tafaran eti simba kwa mtibwa wamemwaagwa
Na venye tulivo wanyonge tabia ya kuwajibu hatunaga
Kama naziona zile 5 za zamani tulizo wafungaga
Ooh nayosema yana mana sababu hakuna anaejua kesho
Anayepanga ni rabana ila ameificha ni komfidesho
Ukisali omba sana jeny muro asije kuwa kochekesho
Mana rafiki wa Jana ndio adui mkubwa keshoo.......



Wakuu zangu.. cnjona wa ukae mkolaj Frank Wanjiru yahoo joefrancy Makoye Matale n.k mnaonaje kipaji cha huyu kijana?
Kijana anatisha, tumekubali yaishe Mkuu. Mpira wa miguu ni mchezo wa makosa. Turejee kwenye ligi tuendelee.

Overall sie Yanga hatunaga mahaba sana na hili kombe, tulienda Zenj kupiga tizi kwa ajili ya ligi kuu na Champions League, looser hapa ni Simba aliyezoea kuokota makombe ya mchangani. Poleni sana watani kwa kuvuliwa ubingwa na kukosa kombe lenu.
 
Gafla vipoint sina nmerudi jangwani ee
Nmeshindwa kufika final kwa penalty nmetoka ee
Busungu penalt amekosa mwaishuya ndo hatareeee
Kamusoko limebaki jina mirasta ukanyoeeee
Oooh wale shabiki zangu walonisifu kwa maneno matam
Leo maadui zangu ni mitusi kwa instagram
Manji boss wangu eti nae hanifaham
Hata jeny muro nikimpigia ananifokea kama salamu
Na magazeti ya nyumban kwa kukusabai siunajuaga
Utasikia tafaran eti simba kwa mtibwa wamemwaagwa
Na venye tulivo wanyonge tabia ya kuwajibu hatunaga
Kama naziona zile 5 za zamani tulizo wafungaga
Ooh nayosema yana mana sababu hakuna anaejua kesho
Anayepanga ni rabana ila ameificha ni komfidesho
Ukisali omba sana jeny muro asije kuwa kochekesho
Mana rafiki wa Jana ndio adui mkubwa keshoo.......



Wakuu zangu.. cnjona wa ukae mkolaj Frank Wanjiru yahoo joefrancy Makoye Matale n.k mnaonaje kipaji cha huyu kijana?
Easy come,easy go sir teh teh naona mmemadrikika teh teh kerr
 
...kwani leo hapakua na mechi ya fainali?!! duh..!!
kweli Simba na Yanga ndio wenye mpira Tz!
 
Ila zawadi ni kidogo sana 10M Kwa 5M !!! Hapa kuna tatizo
 
Gafla vipoint sina nmerudi jangwani ee
Nmeshindwa kufika final kwa penalty nmetoka ee
Busungu penalt amekosa mwaishuya ndo hatareeee
Kamusoko limebaki jina mirasta ukanyoeeee
Oooh wale shabiki zangu walonisifu kwa maneno matam
Leo maadui zangu ni mitusi kwa instagram
Manji boss wangu eti nae hanifaham
Hata jeny muro nikimpigia ananifokea kama salamu
Na magazeti ya nyumban kwa kukusabai siunajuaga
Utasikia tafaran eti simba kwa mtibwa wamemwaagwa
Na venye tulivo wanyonge tabia ya kuwajibu hatunaga
Kama naziona zile 5 za zamani tulizo wafungaga
Ooh nayosema yana mana sababu hakuna anaejua kesho
Anayepanga ni rabana ila ameificha ni komfidesho
Ukisali omba sana jeny muro asije kuwa kochekesho
Mana rafiki wa Jana ndio adui mkubwa keshoo.......



Wakuu zangu.. cnjona wa ukae mkolaj Frank Wanjiru yahoo joefrancy Makoye Matale n.k mnaonaje kipaji cha huyu kijana?
Single imetulia mpaka bhaaassss
 
Back
Top Bottom