...hebu jifunze kwa wenzako,acha kuweweseka...tazama sehemu tofauti ujue maana,usijilishe kasa na maneno yako ya kwenye kanga!Acha kukariri, unaweza kufeli mtihani vibaya sana. Alama yoyote yaweza kuwekwa cha msingi kuwe na 'ufunguo' wenye maana ya hiyo alama. Rejea kwenye post yangu uone kama sikuweka ufunguo! Poor Great Sinker!
Daaaamn!Wameotea hao....Dak. 77: Simba 2 - 2Jamhuri.
Mkuu tupeni wafungaji wahayo magoli.Dak. 77: Simba 2 - 2Jamhuri.