wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Ufunguzi umeanza leo ambapo Namungo wameanza vizuri kwa ushindi wa kuusaka ubingwa.
Simba, Yanga na Azam ndio timu zinazopigiwa chapuo kuibuka na ubingwa.
Fainali ni tarehe 13 januari pale pale aman stadium.
Karibuni kwa taarifa zaidi.
Simba, Yanga na Azam ndio timu zinazopigiwa chapuo kuibuka na ubingwa.
Fainali ni tarehe 13 januari pale pale aman stadium.
Karibuni kwa taarifa zaidi.