Mapinduzi cup 2022 imeanza. Namungo wameanza kwa ushindi

Mapinduzi cup 2022 imeanza. Namungo wameanza kwa ushindi

wazunguwawili

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2019
Posts
3,984
Reaction score
4,132
Ufunguzi umeanza leo ambapo Namungo wameanza vizuri kwa ushindi wa kuusaka ubingwa.

Simba, Yanga na Azam ndio timu zinazopigiwa chapuo kuibuka na ubingwa.

Fainali ni tarehe 13 januari pale pale aman stadium.

Karibuni kwa taarifa zaidi.
 
Ushauri kutoka kwa mchambuzi mashuri


FB_IMG_16411381468557000.jpg
 
Back
Top Bottom