Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Sana,hawa mbumbumbu na yule mzungu wao wangeongea sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana,hawa mbumbumbu na yule mzungu wao wangeongea sana
Punguza jabba mkuu. Mtibwa wanajua sanaKocha fala kweli,anajaribu kikosi kwenye fainali. Nadhani hajasimuliwa vizuri kuhusu Simba. Ngoja afungwe
Kwa nini usinpongeze Katwila?Wa kulaumiwa ni Matola, anaewajua Mtibwa.
Kocha bado hajui chochote,
Mo fukuza mbwa matola
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako wapiMpira wa Tanzania una shida ,nawapongeza Mtibwa, ukiondoa ushabiki wetu wa Simba na Yanga....Tanzania inahitaji kubadilika Kuna wachezaji wengi hawapewi nafasi ya kuonekana!
Kama ulilomwagiwa mgogoni
Balimi hizi!Sema Nyoko kama mwanamume...!!!
Huwezi wanaume wamekumega Leo dadadeq zako..
Mpira hamna, Nyodo za maisha tu zimewajaa zimewajaaH,
Hili bolo la kufungwa litawajaza hadi mwsho wa ligi na hamtoki na chochote mwaka huu
Hivi Mtibwa walimtoa Nani Hadi kufika Fainali!