dumesuruali
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 287
- 621
Vp yule aliyekimbia sauzi na kuangukia kyela????mlikuwa mkiwapa akina nyoso na yule mwenzake aliyekimbia kucheza soka norway na kurudi bongo..
auumesahau mkuu, si ndio ilikuwa boost kwa wachezaji weni kipindi kile?
We nahis soka umeanz kushabikia leo. Soka la vijan halina tija?daahMpaka ifikapo mwezi wa 5 kitu pekee ambacho mtakuwa mnajivunia nacho ni ubingwa wa vijana tu.
michuano ambayo sijui kama ina tija na manufaa mno kwenye vilabu vyetu.
Nimependa uchambuzi wako ila umesahau ulipoweka ya african lyon na prison ukasahau ya stand na mbeya city.. Au yale hayakuwa matokeo?Bila shaka hakuna anayeweza kubisha kuwa Group B la Mapinduzi Cup litaongozwa na Yanga SC.
By tha way! Kama unabishana na hilo ,huenda ukawa unadhani kuwa Azam FC anaweza kuongoza hilo kundi. Assume mechi zote za Azam na Yanga wameshinda .....wao kwa wao wametoka sare. Hapo yanga atakaa juu kwa idadi ya mabao. (Ikumbukwe kuwa Wachezaji wa Yanga SC wamepewa mzigo wa kuhakikisha wanafunga zaidi ya mabao 4 kila mechi ya hatua ya makundi) na wamedhihirisha hilo katika mtanange wake wa kwanza wa michuano hiyo.
1. Yanga
2. Azam
3. Mwingine
4. Mwingine
Kundi B hakuna atakayebisha kuwa Matopeni FC mtaongoza kundi licha ya kuwa mmepangiwa kundi jepesi mno , URA wamepoteza mechi yao 1. sina hakika kama kupoteza kwenu point kutakuwa kwa kufungwa, Bali kwa kutoa sare. nadhani mtatoa sare na URA (kwa kuwa wanaonekana ni wagonjwa pia)...Hapo mtakaa nafasi ya juu kwenye group.
1. Matopeni FC
2. URA
3. Mwingine
4. Mwingine
Nusu fainali:- Msindi kwa kwanza wa Group B atacheza na mshindi wa pili wa group A
Yanga SC vs URA
Nusu fainali:- Msindi kwa kwanza wa Group A atacheza na mshindi wa pili wa group B
Azam FC vs Matopeni FC
(Hapa ndipo utakuwa ukomo wa Matopeni FC, hasa ukitia maanani kiwango chao huko Zanzibar ,na walipo cheza na baadhi ya vilabu vya zenji ambavyo Yanga SC hujipigiaga mengi mengi)
FAINALI:-
AZAM FC VS DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS SC.
Ukiuweka ushabiki pembeni na ukaulizwa nani atakuwa mshindi wa huu mtanange kwa kuzingatia ubora na perfomance ya hizi klabu mbili katika michuanno ya Mapinduzi Cup...Bila shaka chaguo lako litakuwa ni yule aliyeweza kutupia tupia mabao mengi mengi tangu mwanzo wa michuano.
YANGA BINGWA WA MICHUANO YA MAPINDUZI CUP 2017.
Baada ya hapo wenzetu wa Matopeni FC .....watarudi Dar kuendelea na Ligi .
wakiwa na Mawazo,Huzuni,Hofu, zilizozaliwa kwa kukosa Ubingwa wa Mapinduzi Cup watajikuta wwakipokea vipigo ambavyo vyenye kufanana na vile vya African Lyon na Prisons....
Huku wakitazama nyuma (wamuonapo Yanga SC) wanajazwa tena wasiwasi inayowapelekea kusarenda Usukani wa LigiKuu bara na kunyoosha mikono juu na kusema `Tumeshindwa, Nendeni nyinyi`.
Hapo ndipo Mabingwa watetezi na wa kihistoria wa Ligikuu Tanzania Bara watatwazwa Mabingwa kwa mara ya 3 mfululizo.
NB:- muendelezo wa huu uzi wa nini kitatokea upande wa Matopeni FC baada ya Yanga SC kutwaa ndoo utaendelea baada ya uhitimisho wa Kombe la Mapinduzi.
0-0 full timeMwenye matokea mechi ya Jana kati ya azam na jamhuri plz
Asante mkuuu0-0 full time
Mkuu.Vp yule aliyekimbia sauzi na kuangukia kyela????
kaekeza kwenye vitobo tu..
Nimezungumzia matokeo ya Matopeni FC....Nimependa uchambuzi wako ila umesahau ulipoweka ya african lyon na prison ukasahau ya stand na mbeya city.. Au yale hayakuwa matokeo?
Endeleeni kujifariji mkuu bebeni makombe yote ikibidi hadi la duniaNimezungumzia matokeo ya Matopeni FC....
Ukitaka nitaje matokeo kwa ujumla nadhani tutajaza server za JF....
kuna timu kibao zimefungwa huko.....kuanz kutaja naona niusumbufu...na mimi sipendi usumbufu,
We nahis soka umeanz kushabikia leo. Soka la vijan halina tija?daah
Umesahau kidogo!Endeleeni kujifariji mkuu bebeni makombe yote ikibidi hadi la dunia
VIPI BADO UNA HIZO NDOTO?.Labda ufanye makusudi kujifungisha mechi moja ili umalize nafasi ya pili...
hapo utaweza kukutana na Yanga SC inayoshika nafasi ya kwanza kwenye group lao..
sidhani kama mpo tayari kutolewa na Yanga sc nusu fainal..
Yupo kafungwa nepi. Kaharisha kila mahali. Unafikiri 4G ni mchezo.Sipati picha mtoa post uko uliko unajisikiaje!!!¡
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli sio mchezoYupo kafungwa nepi. Kaharisha kila mahali. Unafikiri 4G ni mchezo.
Bila shaka hakuna anayeweza kubisha kuwa Group B la Mapinduzi Cup litaongozwa na Yanga SC.
By tha way! Kama unabishana na hilo ,huenda ukawa unadhani kuwa Azam FC anaweza kuongoza hilo kundi. Assume mechi zote za Azam na Yanga wameshinda .....wao kwa wao wametoka sare. Hapo yanga atakaa juu kwa idadi ya mabao. (Ikumbukwe kuwa Wachezaji wa Yanga SC wamepewa mzigo wa kuhakikisha wanafunga zaidi ya mabao 4 kila mechi ya hatua ya makundi) na wamedhihirisha hilo katika mtanange wake wa kwanza wa michuano hiyo.
1. Yanga
2. Azam
3. Mwingine
4. Mwingine
Kundi B hakuna atakayebisha kuwa Matopeni FC mtaongoza kundi licha ya kuwa mmepangiwa kundi jepesi mno , URA wamepoteza mechi yao 1. sina hakika kama kupoteza kwenu point kutakuwa kwa kufungwa, Bali kwa kutoa sare. nadhani mtatoa sare na URA (kwa kuwa wanaonekana ni wagonjwa pia)...Hapo mtakaa nafasi ya juu kwenye group.
1. Matopeni FC
2. URA
3. Mwingine
4. Mwingine
Nusu fainali:- Msindi kwa kwanza wa Group B atacheza na mshindi wa pili wa group A
Yanga SC vs URA
Nusu fainali:- Msindi kwa kwanza wa Group A atacheza na mshindi wa pili wa group B
Azam FC vs Matopeni FC
(Hapa ndipo utakuwa ukomo wa Matopeni FC, hasa ukitia maanani kiwango chao huko Zanzibar ,na walipo cheza na baadhi ya vilabu vya zenji ambavyo Yanga SC hujipigiaga mengi mengi)
FAINALI:-
AZAM FC VS DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS SC.
Ukiuweka ushabiki pembeni na ukaulizwa nani atakuwa mshindi wa huu mtanange kwa kuzingatia ubora na perfomance ya hizi klabu mbili katika michuanno ya Mapinduzi Cup...Bila shaka chaguo lako litakuwa ni yule aliyeweza kutupia tupia mabao mengi mengi tangu mwanzo wa michuano.
YANGA BINGWA WA MICHUANO YA MAPINDUZI CUP 2017.
Baada ya hapo wenzetu wa Matopeni FC .....watarudi Dar kuendelea na Ligi .
wakiwa na Mawazo,Huzuni,Hofu, zilizozaliwa kwa kukosa Ubingwa wa Mapinduzi Cup watajikuta wwakipokea vipigo ambavyo vyenye kufanana na vile vya African Lyon na Prisons....
Huku wakitazama nyuma (wamuonapo Yanga SC) wanajazwa tena wasiwasi inayowapelekea kusarenda Usukani wa LigiKuu bara na kunyoosha mikono juu na kusema `Tumeshindwa, Nendeni nyinyi`.
Hapo ndipo Mabingwa watetezi na wa kihistoria wa Ligikuu Tanzania Bara watatwazwa Mabingwa kwa mara ya 3 mfululizo.
NB:- muendelezo wa huu uzi wa nini kitatokea upande wa Matopeni FC baada ya Yanga SC kutwaa ndoo utaendelea baada ya uhitimisho wa Kombe la Mapinduzi.
VIPI BADO UNA HIZO NDOTO?.
Hahahahha npe matokeo ya leoMpaka ifikapo mwezi wa 5 kitu pekee ambacho mtakuwa mnajivunia nacho ni ubingwa wa vijana tu.
michuano ambayo sijui kama ina tija na manufaa mno kwenye vilabu vyetu.
Mimi Simba lakini kwa kweli huu uzi unaninyong'onyesha haswa!jamaa mnazu wa yanga lakini katathmini vyema!wanasimba tusibishe tugombane na benchi la ufundi ili tuwe na matokeo ya kujiamini!wenzetu wantupua mibao kama hawana akili nzuri bwana!