Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mechi nyingine ya kuamua nani abaki nani asalie
Singida amepewa nafasi kubwa sana kushinda mechi hii kutokana na kikosi chake kuwa kamili tofauti na Yanga ambao wao wamejaza wachezaji wengi kutoka kikosi cha vijana.
Personal view
Singida licha ya kwamba ana kikosi kikubwa au kile cha kwanza anachokitumia katika ligi kuu lakini binafsi simuamini sana.
============
Club ya Yanga yaaga rasmi mashindano ya Mapinduzi Cup baada ya mechi kumalizika kwa sare ya 1-1
Singida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga
Singida atakutana na Azam (washindi mara 5 wa kombe hili) kwenye hatua inayofuata
Naam ulikuwa nami Scars kutoka mwanzo mpaka hapa mwisho nikishirikiana na wadau wengi wa jukwaa hili, niwashukuru sana kwa mchango wenu
Bye bye
Singida amepewa nafasi kubwa sana kushinda mechi hii kutokana na kikosi chake kuwa kamili tofauti na Yanga ambao wao wamejaza wachezaji wengi kutoka kikosi cha vijana.
Personal view
Singida licha ya kwamba ana kikosi kikubwa au kile cha kwanza anachokitumia katika ligi kuu lakini binafsi simuamini sana.
============
Club ya Yanga yaaga rasmi mashindano ya Mapinduzi Cup baada ya mechi kumalizika kwa sare ya 1-1
Singida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga
Singida atakutana na Azam (washindi mara 5 wa kombe hili) kwenye hatua inayofuata
Naam ulikuwa nami Scars kutoka mwanzo mpaka hapa mwisho nikishirikiana na wadau wengi wa jukwaa hili, niwashukuru sana kwa mchango wenu
Bye bye