Mapinduzi makubwa duniani yameletwa na matumizi ya zana za madini ya chuma, ni heri uache vyote ili uchimbe chuma kama unayo

Mapinduzi makubwa duniani yameletwa na matumizi ya zana za madini ya chuma, ni heri uache vyote ili uchimbe chuma kama unayo

Acha tuhangaike na misplaced priorities, kama serikali kuhamia Dodoma.
 
kuzifahamu faida za SGR kwetu kunahitaji ubongo mkubwa sana. Huwezi kufahamu uwekezaji wa SGR utatuiingizia faida gani mpaka kwanza ufahamu hesabu zifuatazo:

1. Gharama halisi ya kuijenga SGR ni hela ngapi
2. Tutasafirisha nini kutoka na kurudi DSM kwa njia ya SGR
3. Hasara gani wafanyabiashara wa magari ya mizigo na abiria na wataingia wamiliki, wafanyakazi wa magari hayo, wafanyabishara kandokando ya barabara wanaotegemea uwepo wa magari hayo njiani hkama vile mahoteli, wafanyabiashara ndogondogo wa vitunguu, nyanya, kuku, nk njiani yatakayopisha nafasi ya SGR kufanya kazi za malori na mabasi hayo na na serikali kukosa kodi ya malori na mabasi ya njia hiyo.
4. Wauza spea za malori na mabari
Hiyo namba tatu sijaikubali mkuu. Italainisha maisha mana kusafirisha behewa LA cement kwa TRC LA kubeba tani 40 aka 800 cement bags ni rahisi sana kuliko Lori semi ya kukubebea Sementi from Dar to Mza so gharama ikishuka hata bei itashuka sana kwa mlaji Wa mwisho.
Hata nauli dar to Mza itashuka mkuu.
Hayo malori itabidi washindane sana na sgr pia yanaharibu sana roads zetu mkuu.
Kila kitu kina impacts both hasi and chanya
 
Hiyo namba tatu sijaikubali mkuu. Italainisha maisha mana kusafirisha behewa LA cement kwa TRC LA kubeba tani 40 aka 800 cement bags ni rahisi sana kuliko Lori semi ya kukubebea Sementi from Dar to Mza so gharama ikishuka hata bei itashuka sana kwa mlaji Wa mwisho.
Hata nauli dar to Mza itashuka mkuu.
Hayo malori itabidi washindane sana na sgr pia yanaharibu sana roads zetu mkuu.
Kila kitu kina impacts both hasi and chanya
Nakubaliana na wewe. Hata mafuta. Treni inaweza pakia zile lori za mafuta nyingi sana.
 
7 October 2019

African Development for African People : Prof. Abdi Ismail Samatar


Source : DAD East Africa Association

Abdi Ismail Samatar, a professor of geography at the University of Minnesota, demonstrated the stages that the African economy passed through :

Genealogy of Development and underdevelopment , dissecting Production and consumption
  • pre-colonial, post-colonial capitalism, and neo-liberal.
    • The critical challenges that Africa faces today include issues like leaders who lack the legitimacy and credibility to lead; states with no vision which are also less capable of forming a new chart for acting on collective continental issues; an economy that has failed to provide productive jobs and living wages for the majority; a fragmented continent and deep skills deficit; and finally, enormous underused natural resources.
    • Instead of doing every business, it’s better for Africa to focus on very few areas across the continent like the agriculture and food sector by putting the required policies in place and preparing the infrastructure. It is significant to establish an interdependence between African countries in every sector rather than be dependent on other countries like China or India by enabling African companies and firms to undertake projects whether it’s mini or mega ones.
  • Source : | DAD - Towards A Better Life
 
Mkuu mbona unakoroga mambo sasa, mbona kama unachanganya idhaa? Magari yanatengenezwa na chuma? Makontena ni chuma kile?

Unaelewa tofauti kati ya bati, chuma na aluminium?
Kwa sehemu kubwa gari imeundwa kwa chuma. Chases, components za engine, container, bati za body kwa baadhi ya magari, bolt, nuts n.k.

Chuma ndio kila kitu kama taifa linataka kuwa na viwanda mama, hata bati za nyumba ni galvanized steel, sufuria za nyumbani zile za kung'aa sahani, vikombe vya hapo jikoni kwako vyote ni zao la chuma iliyopakazwa chromium kwa nje.

Bidhaa za chuma zinakuzunguka popote ulipo utazikuta, jikoni, sebuleni, chooni, shambani, barabarani, kwenye majengo n.k. kwa ufupi chuma malighafi muhimu sana kwa modern civilization.
 

Dependency Theory:

Why are so many countries in the world not developing


A description of global associated with neo-Marxist theory, particularly in Central and South America. The theory describes how economic elites across states collude to promote their own economic and political interests.

-International division of labour
-Class distinction btn the rich and the poor
-Global Capitalist system: Wider global system liberal policies dominates
-Promotion of Underdevelopment

Source : allensens
 
Samir Amin : The path of development for underdeveloped countries


Source : Global University for Sustainability
 
Mkuu mbona unakoroga mambo sasa, mbona kama unachanganya idhaa? Magari yanatengenezwa na chuma? Makontena ni chuma kile?

Unaelewa tofauti kati ya bati, chuma na aluminium?
Unakoroga mambo. Hivi unadhani yale malori ya mizigo yametengenezwa kwa plastic? Chesses gari gani inatengenezwa kwa bati au aluminium? Be serious
 
Acha tuhangaike na misplaced priorities, kama serikali kuhamia Dodoma.
Huku tunapoteza fedha nyingi kutengeneza mkonga wa mawasiliano ili kuboresha mawasiliano nchi nzima wakati huohuo tunapoteza hela nyingine tunahamia dodoma kwamba Dar es salaam ni mbali sana kwenda kwa miguu na mabasi. Tulidhani mkonga ndilo lingekuwa suluhisho ya kuifanya tanzania iwe kijiji.
 
maana huwezi kuficha kipande cha madini ya chuma kwenye begi lako kama dhahabu na almasi.


Nilikuwa siijui hii sababu, 🤣

Kama tungeanza na uzalishaji wa chuma hata reli ya SGR tungejenga kwa gharama ndogo sana na ukali wa maisha unaotukabili kipindi hiki usingalikuwepo.

Imagine mataruma yote ya SGR kutoka Dar hadi Mwanza na Baadaye kwenda Kigoma kama wakubwa wakipenda, yanaagizwa kutoka nje ya nchi, kama tungezalisha chuma hapahapa tungeokoa kiasi gani cha fedha za kigeni??, na hapohapo tungeuza raw materials za chuma nje pia viwanda vya manufacturing vinavyotumia malighafi za chuma vingeongezeka kwani malighafi za chuma zimekuwa ghali mno na shida sana kupatikana kitu ambacho kinafanya Viwanda vya manufacturing visuesue. Material kama shafts, mabati, nondo nk, zilipaswa kuwa bei chee kama tungalichimba chuma chetu.

Industrial revolution ilianza na uzalishaji wa chuma.

Mkuu mimi nakuunga mkono 100%.
 
Halafu utavitengeneza hvyo vitu wew, una hyo technology na investment?
Hapana mkuu, hapa tunaongelea kile chuma halisi kinachotumika kujengea viwanda, magari, vifaa vizito vya uchimbani, makontena ya mizigo, matrekta, reli, mabehewa, nk
 
Hivi unasemea hivi vyuma tunavyo uza 1kg = 300tsh/= tuchimbe madini yake ambayo ni malighafi ?


Ndiyo, hayo madini yanaitwa "Iron ore" au kwa kiswahili ndiyo makinikia. Hayo madini yapo Liganga, Mchuchuma , Morogoro nk, Mamilioni ya tani.

Kinachotakiwa ni kujenga au kununua jiko la kufanyia "Smelting", smelting ni kitendo cha kuchuja chuma na udongo na kitendo hicho hufanyika ndani ya hiyo smelter inayoitwa "Blast furnace"--- humo ndani ya hiyo smelter wanaweka Coke (makaa ya mawe yaliyosafishwa) na limestones mawe ya chokaa kiasi fulani ndipo huwashwa kwa moto mkali ndipo hatimaye chuma hukingwa kutoka katika hiyo smelter kikiwa kama maji mekundu, chuma hicho huitwa "Pig iron", hicho chuma huwa bado ni "ghafi" yaani kimejaa uchafu hasa Carbon na hivyo kinatakiwa kupitishwa kwenye chungu kingine kiitwacho "Bessemer convertor" humo hicho chuma hupashwaa joto kali na Oxygen hupitishwa ili kuondoa hiyo Carbon, hapo sasa ndipo unapata aina mbalimbali za Chuma cha pua "steels" na chuma cha udongo cast irons kulingana na mahitaji, katika steels ndipo utapata Nondo, Shafts, Mabati ya kutengenezea mageti a grills , vyuma vya reli nk.

Hapo nimeandika kwa ufupi ili upate picha kidogo.
 
kuzifahamu faida za SGR kwetu kunahitaji ubongo mkubwa sana. Huwezi kufahamu uwekezaji wa SGR utatuiingizia faida gani mpaka kwanza ufahamu hesabu zifuatazo:

1. Gharama halisi ya kuijenga SGR ni hela ngapi
2. Tutasafirisha nini kutoka na kurudi DSM kwa njia ya SGR
3. Hasara gani wafanyabiashara wa magari ya mizigo na abiria na wataingia wamiliki, wafanyakazi wa magari hayo, wafanyabishara kandokando ya barabara wanaotegemea uwepo wa magari hayo njiani kama vile mahoteli, wafanyabiashara ndogondogo wa vitunguu, nyanya, kuku, nk njiani yatakayopisha nafasi ya SGR kufanya kazi za malori na mabasi hayo na na serikali kukosa kodi ya malori na mabasi ya njia hiyo.
4. Wauza spea za malori na mabari

Faida ya SGR haiwezi kuonekana moja kwa moja na inawezekana baadaye kushindwa kuendesha kwa sababu ya gharama.
Huu ni mradi wa kisiasa na hakuna anayejua faida au hasara itakayopatikana kiuhalisia.
Hata hivyo, kujenga reli ni jambo la kimaendeleo kwa nchi. Cha kuzingatia ni mahitaji na raslimali zilizopo kwa wakati huo.
 
Chuma ndio madini mama duniani, mapinduzi makubwa duniani yameletwa na matumizi ya zana za madini ya chuma, ni heri uache vyote ili uchimbe chuma kama unayo. Tena huna haja ya kutafuta mwekezaji kwenye madini ya chuma chimba mwenyewe.

Taifa lengo malengo litachimba chuma kwanza hata kabla ya dhahabu na nickel. Yaani kwa umuhimu itaanza chuma na kufuatiwa na makaa ya wawe, shaba, bati na dhahabu.

Chuma ndiyo itatumika kutengenezea zana kuchimbia madini mengine na njia za kusafirisha madini mengine.

Inaonekana uchimbaji wa chuma haupewi msukumo mkubwa kwakuwa hauna maslahi kwa viongozi mmojammoja, maana huwezi kuficha kipande cha madini ya chuma kwenye begi lako kama dhahabu na almasi.
Umenena vyema.Ila ukae ukijua hakuna hata muwekezaji atakushauri uwekeze kwenye uvunaji wa chuma chako .Hii ni kwa sababu wawekezaji wote wakubwa kutoka nje wana watu wazito nyuma yao.Wataongea yote kuanzia kwenye makaa ya mawe,gas,dhahabu ,shaba na sasa bati lakini kwenye uvunaji wa chuma zinapigwa chenga za hapa na pale.Mambo yote kwenye chuma na ndiyo maendeleo yenyewe.Mkifanikiwa kuchimba na kuchakata chuma basi tena mtakuwa kama wao.
Habari ya chuma ni kubwa,imetajwa hata katika baadhi ya vitabu vitakatifu,Ref . Surat Al Hadid katika quran tukufu,Hadid ni chuma( Iron).
 
25 January 2021

Joe Biden atangaza mpango kabambe wa kufufua viwanda mama, kusaini waraka wa dharura kuinusuru Marekani


Rais wa 46 wa USA Joe Biden ameapa kuhakikisha kuwa viwanda vya vyuma, aliminium, glasi, viwanda vya tekenolojia ya kisasa kama biotekinoloji n.k vinabaki Amerika huku malighafi / mashine/ utaalamu pia uwe wa kutoka ndani ya Marekani na serikali yake (Joe Biden) kuwa mkali zaidi ya Donald Trump kisera kuhusu "Marekani Kwanza" kwa kuhakikisha kila kitu kinazalishwa ndani ya Amerika na kuwa atasaini waraka wa dharura (executive order/decree) mapema kutimiza ndoto hiyo ya "Amerika Kwanza".

Rais Joe Biden anasisitiza sera ya "Marekani Kwanza" ni hakikisho la kuwa Marekani inabaki kuwa na viwanda mama, viwanda vidogo, vyuo vikuu vitakavyo fanya tafiti zitumike ktk sekta za viwanda / kilimo/ Afya vya Marekani, uchumi mkubwa, ajira nyingi za ndani na usalama ktk kandarasi za kijeshi na vifaa tiba madawa, chanjo afya za waMarekani.

Serikali yake imeunda Kurugenzi Maalum itakayokuwa chini ya Ofisi ya Rais kuhakikisha kandarasi zote zinakwenda kwa waMarekani. Pia itakuwa lazima Kurugenzi hiyo kutangaza kwa umma fursa hizo za kandarasi na uzalishaji ktk vyombo vya habari ili kuhakikisha Kurugenzi hiyo haiwapiti waMarekani kwa bahati mbaya.

Maana serikali haifahamu kila kitu hivyo "Uwazi" kupitia taarifa kwa umma anaweza kutokeza Mmarekani akasema anaweza kuifanya kazi hiyo kabla ya makampuni ya kigeni kupewa fursa hiyo pia kutakuwepo mfuko maalum kuwasaidia waMarekani wenye makampuni yenye ujuzi lakini wenye mtaji mdogo kuweza kuchukua kazi za kandarasi kubwa ili waMarekani wafaidike kwanza.

Biden gives remarks on strengthening American manufacturing
Source : PBS NewsHour

January 25, 2021

Biden signs ‘Buy American’ order​

WASHINGTON (AP) — President Joe Biden signed an executive order Monday to boost government buying from U.S. manufacturers, as talks with Congress over a $1.9 trillion stimulus package that he considers essential to the nation's recovery showed few signs of progress.

Watch Biden's remarks in the player above.

The executive order is among a flurry of moves by Biden during his first full week to publicly show he's taking swift action to heal an ailing economy. Biden reiterated Monday that he believes the country is in a precarious spot and and that relief is urgently needed, even as he dismissed the possibility of embracing a scaled-down bill to secure passage faster. Among the features of the stimulus plan are a national vaccination program, aid to reopen schools, direct payments of $1,400 to individuals and financial relief for state and local governments.

"Time is of the essence," Biden said. "I am reluctant to cherry-pick and take out one or two items here."

Biden, meanwhile, was growing more bullish on vaccine distribution in the U.S., after he and his aides face criticism for their caution in setting vaccination targets for the virus-weary nation. Biden told reporters that he believes 150 million shots in arms may be achievable in his first 100 days in office — up from 100 million doses — and that he expects widespread availability of the vaccines for Americans by spring, with the U.S. "well on our way to herd immunity" by summer.

Biden's comments come after his team held a call Sunday to outline the stimulus plan with at least a dozen senators, while the president has also privately talked with lawmakers.

"There's an urgency to moving it forward, and he certainly believes there has to be progress in the next couple of weeks," White House press secretary Jen Psaki said Monday. She warned that action needed to be taken before the U.S. reaches an "unemployment cliff" in March, when long-term unemployment benefits expire for millions of Americans.

But Republicans on Capitol Hill were not joining in the push for immediate action.

One key Republican, Sen. Susan Collins of Maine, said after Sunday's call that "it seems premature to be considering a package of this size and scope." Collins described the additional funding for vaccinations as useful while cautioning that any economic aid should be more targeted.

Senate Minority Leader Mitch McConnell, R-Ky., said Monday that "any further action should be smart and targeted, not just an imprecise deluge of borrowed money that would direct huge sums toward those who don't need it."

Biden sought to downplay the rhetoric from GOP lawmakers, saying, "I have been doing legislative negotiations for a large part of my life. I know how the system works."

"This is just the process beginning," he added. "No one wants to give up on their position until there's no other alternative."

Monday's order will likely take 45 days or longer to make its way through the federal bureaucracy, during which time wrangling with Congress could produce a new aid package. That would be a follow-up to the roughly $4 trillion previously approved to tackle the economic and medical fallout from the coronavirus.

The order was aimed at increasing factory jobs, which have slumped by 540,000 since the pandemic began last year.

"America can't sit on the sidelines in the race for the future," Biden said before signing the order in the Eisenhower Executive Office Building. "We're ready, despite all we're facing."

Biden's order would modify the rules for the Buy American program, making it harder for contractors to qualify for a waiver and sell foreign-made goods to federal agencies. It also changes rules so that more of a manufactured good's components must originate from U.S. factories. America-made goods would also be protected by an increase in the government's threshold and price preferences, the difference in price over which the government can buy a foreign product.

It's an order that channels Biden's own blue-collar persona and his promise to use the government's market power to support its industrial base, an initiative that former President Donald Trump also attempted with executive actions and import taxes.

"Thanks to past presidents granting a trade-pact waiver to Buy American, today billions in U.S. tax dollars leak offshore every year because the goods and companies from 60 other countries are treated like they are American for government procurement purposes," said Lori Wallach, director of Public Citizen's Global Trade Watch and a critic of past trade agreements.

While Trump also issued a series of executive actions and tariffs with the goal of boosting manufacturing, he didn't attempt to rewrite the guidance for what constitutes a U.S.-made component or tighten the process for granting exemptions to buy foreign goods, a key difference from Biden's agenda, Biden's administration said.

The order also has elements that apply to the separate Buy America program that applies to highways and bridges. It aims to open up government procurement contracts to new companies by scouting potential contractors. The order would create a public website for companies that received waivers to sell foreign goods to the government, so that U.S. manufacturers can have more information and be in a more competitive position.

Past presidents have promised to revitalize manufacturing as a source of job growth and achieved mixed results. The government helped save the automotive sector after the 2008 financial crisis, but the number of factory jobs has been steadily shrinking over the course of four decades.

The number of U.S. manufacturing jobs peaked in 1979 at 19.5 million and now totals 12.3 million, according to the Labor Department
Source : WATCH: Biden signs 'Buy American' order, pushes for urgent COVID-19 relief
 
Faida yake ndogo sana kulinganisha na madini mengine, pia inapatikana kwa wingi...tatizo mashine ya kuyeyusha na kufanya designing ya vifaa

Karibu udongo wote una chuma nyingi tu
 
Faida yake ndogo sana kulinganisha na madini mengine, pia inapatikana kwa wingi...tatizo mashine ya kuyeyusha na kufanya designing ya vifaa

Karibu udongo wote una chuma nyingi tu

Ujuzi wa kuunda Vitu mbalimbali ndiyo changamoto. Ili nchi iendelee inatakiwa iweze kuunda angalau asilimia 50 ya mashine za viwanda vyake hapa hapa nchini na pia kuvifanyia ukarabati.

Kuwepo na "mnyororo" wa kuvipatia viwanda vya ndani mashine na vipuri vinavyotengenezwa na makampuni ya hapa hapa nchini vinavyoweza kuyeyusha Madini ya chuma, vioo glass chupa, nati skrubu, kudizani mashine, vifaa kazi na ujuzi wa kukamilisha kitu kizima kiweze kutumika viwandani ili viweze kuzalisha au kusindika. Yaani viwanda viwe walaji "customer " wa mashine, vipuri na service vinavyofanywa na viwanda vingine vya ndani ya Tanzania.

Tuondokane na "utegemezi"/ dependency yaani kuzalisha tusichotumia na kutumia tusichozalisha iwe katika level ya vitambaa vya nguo (matumizi ya watu) au mashine za viwandani (matumizi ya wenye viwanda).
 
7 Dec 2020

Western Australian iron ore exports remain strong in the face of the China row | ABC News


The bust that followed our mining boom will be on more than a few minds as the spat between Beijing and Canberra plays out. But dig a little deeper and it seems there's little to worry about.
Source : ABC News ( Australia)
 
Back
Top Bottom