Mapinduzi ya Guinea conacry yametufundisha kwamba wenye nchi ni wanajeshi

Mapinduzi ya Guinea conacry yametufundisha kwamba wenye nchi ni wanajeshi

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Nimetafakari Sana mapinduzi mengi duniani na hasa haya ya hivi karibuni ya Guinea conacry kumbe kimsingi kabisa wenye nchi ni wanajeshi na sio hawa wanasiasa wanaotusumbua kwa vimidomo vyao.

Dombouya alipompindua rais wake aisee rais alikuwa mpole Sana alikaa kwenye Kochi kwa utulivu Kama kafumaniwa na mke wa mtu. Omar Albashiri aliondolewa akiwa haamini kinachotokea mzee Robert Mugabe walimstahi tu Ila walimwambia mzee ondoka kwa heshima kabla hatujakiwasha .

Hivyo wapenda amani na demokrasia wenzangu popote mlipo mjue tu kwamba machozi yenu yanayobubujika Leo kwaajili ya uonevu wa wanasiasa Basi mjue kwamba kiboko ya wanasiasa watesi ni wanajeshi wa majeshi ya ulinzi ya nchi husika. (Sio polisi)
Ni hayo kwa leo .
 
Ndiyo maana hapa kwetu kama isingekuwa hao wenye nchi Chama pendwa kingekuwa kilishakuwa Chama cha Upinzani tangu mfumo wa vyama uruhusiwe!
 
Nimetafakari Sana mapinduzi mengi duniani na hasa haya ya hivi karibuni ya Guinea conacry kumbe kimsingi kabisa wenye nchi ni wanajeshi na sio hawa wanasiasa wanaotusumbua kwa vimidomo vyao.

Dombouya alipompindua rais wake aisee rais alikuwa mpole Sana alikaa kwenye Kochi kwa utulivu Kama kafumaniwa na mke wa mtu. Omar Albashiri aliondolewa akiwa haamini kinachotokea mzee Robert Mugabe walimstahi tu Ila walimwambia mzee ondoka kwa heshima kabla hatujakiwasha .

Hivyo wapenda amani na demokrasia wenzangu popote mlipo mjue tu kwamba machozi yenu yanayobubujika Leo kwaajili ya uonevu wa wanasiasa Basi mjue kwamba kiboko ya wanasiasa watesi ni wanajeshi wa majeshi ya ulinzi ya nchi husika. (Sio polisi)
Ni hayo kwa leo .
Ndio unalijua leo!!
 
Back
Top Bottom