Mkolosai2020
Member
- Aug 11, 2022
- 22
- 31
Kilimo ni sekta moja mihumu na chimbuko la sekta nyingine zote, kilimo huzifanya sekta nyingine kuwa endelevu endapo kina kuwa hai na endelevu.
Vijana tunashindwa kuimudu sekta ya kilimo kutokana na sera mbovu zisizo rafiki katika uendelevu, sera nyingi hulenga kwa kipindi fulani na kwa lengo fulani, na hutumia mifumo mibovu ndio maana menejimenti yake na tathmini yake huleta matokeo hafifu.
Tunao wabunifu watu binafsi mashirika binafsi na donors, lakini tunashindwa kufikia lengo kwakuwa mfumo utumikao ni harifu na siyo shirikishi.
Mfumo wa RIPATI unazodalili tosha za kufanya kilimo kuwa endelevu na imara zaidi, ni mfumo unaowajengea uwezo binafsi wakulima kujitegemea na kujiendeleza kwa kutumia teknolojia enyeji kwa mazingira yetu.
Vijana tunashindwa kuimudu sekta ya kilimo kutokana na sera mbovu zisizo rafiki katika uendelevu, sera nyingi hulenga kwa kipindi fulani na kwa lengo fulani, na hutumia mifumo mibovu ndio maana menejimenti yake na tathmini yake huleta matokeo hafifu.
Tunao wabunifu watu binafsi mashirika binafsi na donors, lakini tunashindwa kufikia lengo kwakuwa mfumo utumikao ni harifu na siyo shirikishi.
Mfumo wa RIPATI unazodalili tosha za kufanya kilimo kuwa endelevu na imara zaidi, ni mfumo unaowajengea uwezo binafsi wakulima kujitegemea na kujiendeleza kwa kutumia teknolojia enyeji kwa mazingira yetu.