Mapinduzi ya mfumo mpya wa mpangilio wa uchezaji mpira uwanjani umebuniwa...

tatum

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
5,786
Reaction score
4,491

Mchezaji wa zamani wa PSG ya Ufaransa ambaye kwa sasa ni Kocha wa kikosi cha PSG cha chini ya miaka 19, Thiago Motta anapanga kufanya mapinduzi katika mifumo ya Soka kwa kuja na mfumo wa 2-7-2 ambapo Golikipa atacheza kama kiungo na kuifanya timu icheze kwa kushambulia zaidi.
 
Nimeskia hiyo kitu lakini hapo team ikiwa inamiliki mpira mfumo unakuwa 4-4-2 ....na ikiwa inakaba ndo inakuwa 2-7-2...
 
Hongera zake kwa mtazamo mpya... ila mfumo huo utahitaji wachezaji walioiva sana bila hivo sioni kama anaweza tumia mfumo huu mbele ya mtu kama Pep atakufa
 
kupiga hesabu hizo nje ya dimba ni rahisi lakin ukiingia uwanjani sasa hesabu zote zinasahaulika.
 
hapo sasa golikipa si inabidi awe na mapafu ya mbwa kuwahi golini kama timu inashambuliwa ?
 
Kuna jamaa hapa utafikiri timu fulani imewabikiri mama zao. Wao kila comment inahusu hayo tu.
 
Huu mfumo simba lunyasi tutautumia dhidi ya vyura fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…