Mapinduzi ya Niger: Bunge la Seneti laikataa hatua ya kijeshi, laionya ECOWAS na rais Tinubu

Mapinduzi ya Niger: Bunge la Seneti laikataa hatua ya kijeshi, laionya ECOWAS na rais Tinubu

Hapana hawajafanya vibaya bali wanatimiza objectives za umoja wao. Hata Leo tz jeshi likipindua serikali halali iliyowekwa na wananchi kidemokrasia lazima utaskia kelele nyingi kutoka mataifa mbalimbali duniani na hata kuingia majeshi ya kigeni km AU, EAC nk. Hilo jeshi la Niger ni kikundi Cha wahuni na hawana nidhamu
Kwan baada ya RAis wa Niger kupinduliwa wananchi wa Niger wameridhia/wameandamana kupinga Mageuz hayo?
Ukiona Mass citizen wamekubal basi ECOWAS hawatafanya chochote ila ukion Mass Citizen wamepinga MAgeuz hayo ndipo ECOWAS watakuwa na nguvu
 
Kama ECOWAS wameshapata baraka zote kutoka united nations, united kingdom, united states of America,(USA) France,na bahadhi ya nchi nyingine wanachama wa ECOWAS, Sion kama hayo maamuzi ya bunge la senate yatakuwa na impact sana!
Acha kuongelea ushabiki wew kimsing kinachotokea west africa n mapinduz ya haki,lazima waafrica tuungane vijana wadogo wanafanya ukomboz
 
Wanajeshi wanaofanya mapinduzi huwa sio wajinga. Kuna element muhimu sana huzingalia;
Mtazamo wa raia juu ya watawala/wananchi kuchoshwa na utawala uliopo na pili kutokuwa na imani na mifumo ya kumuwajibisha mtawala.

Jeshi ndio huwa tumaini la mwisho la wananchi. Yakifanyika mapinduzi na wananchi wasipoingia barabarani, basi jua kuna mass support.
Safi mzee umemaliza
 
Sawa dhuhutl hii ngoja tuone. Maana wakati mzuri wa kuanzisha mashambulizi ni Muda ambao adui atarajii. Muda wa usiku wa manani mpaka alfajiri ya mapema ikifika saambili ya kesho Monday Kwa saa za kwao basi jua chekundu hicho.
 
Kama wananchi hawandamani kupinga mapinduzi hayo huoni kwamba jeshi ni sehemu ya wananchi.
Jeshi upindua pale kiongozi alipochaguliwa kidemokrasia kufanya Yaliyo kinyume na wananchi
Lakini kumbuka rais aliyepinduliwa alichaguliwa na watu ingawa hao watu hatujawaona hadharani, swali la kujiuliza ni je wanawaza nini. Kwa hiyo mambo bado hayako sawa
 
Wamefanya jambo la busara vinginevyo nchi ingechafuka. Huwezi kuingilia kumrudisha raisi madarakani asiye na sapoti ya jeshi wala wananchi. Ecowas walitaka kutuletea Afghanistan nyingine Afrika
So kwamba ecowas wamekubaliana na tamko lao. Kumbuka leo ndiyo siku ya mwisho waliyopewa wanamapinduzi. Tusubiri kitakachojili kesho
 
Lakini kumbuka rais aliyepinduliwa alichaguliwa na watu ingawa hao watu hatujawaona hadharani, swali la kujiuliza ni je wanawaza nini. Kwa hiyo mambo bado hayako sawa
Kama wananchi hawaingii barabarani kupinga mapinduzi maana yake wameridhia mapinduzi hayo
 
Akisoma maazimio ya Maseneta baada ya kikao, Rais wa Seneti, Seneta Godswill Akpabio alisema, "Seneti inatambua kuwa Rais Tinubu kupitia mawasiliano yake hakukusudia kupata idhini ya Bunge hili kwa vita kama ilivyodhaniwa kimakosa na baadhi ya watu.
Noted..
 
Back
Top Bottom