Mapinduzi ya Niger yanaweza kumkumba Tinubu wa Nigeria

Mapinduzi ya Niger yanaweza kumkumba Tinubu wa Nigeria

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Upinzani mkali uliotokea ndani ya maseneti ya Nigeria na miongoni mwa wananchi imetajwa ni sababu kuu zilizopelekea muda uliotolewa kama ukomo wa kurudishwa Rais Bazoum wa Niger madarakani kupita bila kutokea chochote.

Raisi Bola Tinubu ambaye ni mwenyekiti wa sasa wa ECOWAS amelaumiwa kwa kutoa tamko la vitisho mapema kwa watawala wa kijeshi wa Niger hata baada ya kupata idhini kutoka kwa mabaraza hayo na kabla ya kushauriana kikamilifu na viongozi wengine wa ECOWAS.

Lawama nyengine dhidi yake ni kwa kule kutofikiria athari za ndani iwapo uingiliaji wa kijeshi huo utafanyika.

Amelaumiwa pia kutaka kuchukua hatua kali za kuyaridhisha mataifa ya nje kabla kufikiria hasara zitakazopatikana kwa ukanda mzima Afrika Magharibi.

Kitendo cha kuikatia Niger na kuiingiza nchi hiyo gizani kilifanyika kinyume na makubaliano yaliyofanyika katika ujenzi wa bwawa la umeme kwenye mto Niger.

Upande wa wananchi wameonekana kutokubaliana kabisa na uamuzi wa kuingilia kijeshi Niger wakiiona nchi hiyo kama ni ndugu wa karibu sana huku idadi kubwa ya watu wa Nigeria wakiwa na asili ya Niger na kinyume chake.

Niger kabla ya mgawanyo wa mipaka wa wakoloni hapo mwaka 1884 ilikuwa ni mwendelezo wa utawala mmoja na Nigeria.

Hii si mara ya mwanzo kwa kiongozi huyo kuchukua maamuzi ya haraka haraka na ya kipekee.Mara alipoingia madarakani alitoa tangazo la kusitisha ruzuku ya mafuta kwa wananchi jambo lillilopelekea machafuko makubwa nchini kote.

Nigeria's President Tinubu faces backlash over military intervention in Niger


1691470993101.png
 
Hizi jumuiya zinazopigania maslahi ya mataifa ya nje bora zife.
Tatizo sio kufa …tatizo ni watu wangapi wasio na hatia watakufa katika mchakato wa kuelekea kufa kwa jumuia hiyo

Nchi za Afrika magharibi zikiingia kwny vita ya wenyewe kwa wenyewe huenda ikawa vita mbaya sana kuwahi kutokea bara la Afrika tangu kumalizika kwa vita vya pili via Dunia

ndani ya Nigeria na hasa jeshini kuna wafuasi wengi sana wa Vladmir ambao wanaweza kudhuru mtawala anetumiwa na NATO hivyo kupelekea kuongezeka kwa ghasia na machafuko
 
Tatizo sio kufa …tatizo ni watu wangapi wasio na hatia watakufa katika mchakato wa kuelekea kufa kwa jumuia hiyo

Nchi za Afrika magharibi zikiingia kwny vita ya wenyewe kwa wenyewe huenda ikawa vita mbaya sana kuwahi kutokea bara la Afrika tangu kumalizika kwa vita vya pili via Dunia

ndani ya Nigeria na hasa jeshini kuna wafuasi wengi sana wa Vladmir ambao wanaweza kudhuru mtawala anetumiwa na NATO hivyo kupelekea kuongezeka kwa ghasia na machafuko
Huyu babu hana uzoefu wa kijeshi.Hajui athari za vita vya wenyewe kwa wenyewe au kwa uzee wake amesahau tu.
 
Tatizo sio kufa …tatizo ni watu wangapi wasio na hatia watakufa katika mchakato wa kuelekea kufa kwa jumuia hiyo

Nchi za Afrika magharibi zikiingia kwny vita ya wenyewe kwa wenyewe huenda ikawa vita mbaya sana kuwahi kutokea bara la Afrika tangu kumalizika kwa vita vya pili via Dunia

ndani ya Nigeria na hasa jeshini kuna wafuasi wengi sana wa Vladmir ambao wanaweza kudhuru mtawala anetumiwa na NATO hivyo kupelekea kuongezeka kwa ghasia na machafuko
Kwani kumdhuru mtawala wa NATO kwako inakuuma nini
 
Watanzania inabidi tumuenzi Nyerere sijui aliwezaje kuwafanya watanzania wa mipakani kuweka uzalendo wao katika nchi wanayoishi, kuliko kujali ndugu zao wa upande wa pili mpakani katika maeneo mengi.

Nigeria imeonyesha mpasuko mkubwa watu wa north Nigeria wote waliompakani wenye urefu wa miles 930 na Niger awataki kabisa military intervention na kikubwa ni madai wana ndugu zao upande wa pili, kuna watu pande hizo wapo tayari kulihujumu jeshi lao la Nigeria wakiivamia Niger tena wapo wazi.

Unapata picha hakuna nationalism sentiments kabisa northern Nigeria. Inasikitisha sana kwa Tanzania kuona kazi kubwa aliyoifanya Nyerere halafu leo mijitu kama Jakaya Kikwete wanataka kuifanya Tanzania ni mali ya genge la wahuni wachache na familia zao.
 
Upinzani mkali uliotokea ndani ya maseneti ya Nigeria na miongoni mwa wananchi imetajwa ni sababu kuu zilizopelekea muda uliotolewa kama ukomo wa kurudishwa Rais Bazoum wa Niger madarakani kupita bila kutokea chochote.

Raisi Bola Tinubu ambaye ni mwenyekiti wa sasa wa ECOWAS amelaumiwa kwa kutoa tamko la vitisho mapema kwa watawala wa kijeshi wa Niger hata baada ya kupata idhini kutoka kwa mabaraza hayo na kabla ya kushauriana kikamilifu na viongozi wengine wa ECOWAS.

Lawama nyengine dhidi yake ni kwa kule kutofikiria athari za ndani iwapo uingiliaji wa kijeshi huo utafanyika.

Amelaumiwa pia kutaka kuchukua hatua kali za kuyaridhisha mataifa ya nje kabla kufikiria hasara zitakazopatikana kwa ukanda mzima Afrika Magharibi.

Kitendo cha kuikatia Niger na kuiingiza nchi hiyo gizani kilifanyika kinyume na makubaliano yaliyofanyika katika ujenzi wa bwawa la umeme kwenye mto Niger.

Upande wa wananchi wameonekana kutokubaliana kabisa na uamuzi wa kuingilia kijeshi Niger wakiiona nchi hiyo kama ni ndugu wa karibu sana huku idadi kubwa ya watu wa Nigeria wakiwa na asili ya Niger na kinyume chake.

Niger kabla ya mgawanyo wa mipaka wa wakoloni hapo mwaka 1884 ilikuwa ni mwendelezo wa utawala mmoja na Nigeria.

Hii si mara ya mwanzo kwa kiongozi huyo kuchukua maamuzi ya haraka haraka na ya kipekee.Mara alipoingia madarakani alitoa tangazo la kusitisha ruzuku ya mafuta kwa wananchi jambo lillilopelekea machafuko makubwa nchini kote.

Nigeria's President Tinubu faces backlash over military intervention in Niger


View attachment 2711591
Ni wakati wa Africa kuweka kikomo cha umri kwa mgombea wa nafasi ya uraisi.

Huyu hana cha kupoteza katika umri alionao anaona lolote ni sawa tu.

Mimi naamini uzee sio kigezo cha mtu kuwa na hekima.
 
Upinzani mkali uliotokea ndani ya maseneti ya Nigeria na miongoni mwa wananchi imetajwa ni sababu kuu zilizopelekea muda uliotolewa kama ukomo wa kurudishwa Rais Bazoum wa Niger madarakani kupita bila kutokea chochote.

Raisi Bola Tinubu ambaye ni mwenyekiti wa sasa wa ECOWAS amelaumiwa kwa kutoa tamko la vitisho mapema kwa watawala wa kijeshi wa Niger hata baada ya kupata idhini kutoka kwa mabaraza hayo na kabla ya kushauriana kikamilifu na viongozi wengine wa ECOWAS.

Lawama nyengine dhidi yake ni kwa kule kutofikiria athari za ndani iwapo uingiliaji wa kijeshi huo utafanyika.

Amelaumiwa pia kutaka kuchukua hatua kali za kuyaridhisha mataifa ya nje kabla kufikiria hasara zitakazopatikana kwa ukanda mzima Afrika Magharibi.

Kitendo cha kuikatia Niger na kuiingiza nchi hiyo gizani kilifanyika kinyume na makubaliano yaliyofanyika katika ujenzi wa bwawa la umeme kwenye mto Niger.

Upande wa wananchi wameonekana kutokubaliana kabisa na uamuzi wa kuingilia kijeshi Niger wakiiona nchi hiyo kama ni ndugu wa karibu sana huku idadi kubwa ya watu wa Nigeria wakiwa na asili ya Niger na kinyume chake.

Niger kabla ya mgawanyo wa mipaka wa wakoloni hapo mwaka 1884 ilikuwa ni mwendelezo wa utawala mmoja na Nigeria.

Hii si mara ya mwanzo kwa kiongozi huyo kuchukua maamuzi ya haraka haraka na ya kipekee.Mara alipoingia madarakani alitoa tangazo la kusitisha ruzuku ya mafuta kwa wananchi jambo lillilopelekea machafuko makubwa nchini kote.

Nigeria's President Tinubu faces backlash over military intervention in Niger


View attachment 2711591
NI SUALA LA MUDA, KAMA HATACHEZESHA AKILI VIZURI ATAJIKUTA YY NDO ANAKIMBIA NIGERIA.
 
Watanzania inabidi tumuenzi Nyerere sijui aliwezaje kuwafanya watanzania wa mipakani kuweka uzalendo wao katika nchi wanayoishi, kuliko kujali ndugu zao wa upande wa pili mpakani katika maeneo mengi.
Kuna Utanganyika na Uzanzibar Nyerere alifeli vibaya katika hili.

Wazanzibar wanachuki na Watanganyika pia sasa Watanganyika nao wamegeuka. Nyerere alitengeneza muungano wa kipumbavu kuwahi kuuona duniani.

Hakuna umoja baina ya Watanzania ipo siku watu wa hizi pande mbili watashikiana mapanga kama jeshi la Tanganyika likiendelea na uharamia wake huko visiwani Zanzibar.

Zanzibar ikipata support ya mataifa ya nje hakika hii unayoita Tanzania damu itamwagika hata utumwa ulikuwa na mwisho, Nyerere alifanya uvamizi na kupeleka ukoloni na utumwa Zanzibar.

Nyerere hawezi kutolewa mfano bora katika haya masuala
 
Kuna uzalendo na kuna democracy.

Bazoum katokea kwenye minority group ya Niger, uchaguzi sera. Na hua Junta majority ni Hausa (part of Songhani people) na ndio almost 90% of the population sasa kwanini hawakunadi sera zao kwenye uchaguzi washinde including agenda ya kubadili terms mbaya za mikataba yao ya natural resources.

Leo uchaguzi umepita mshindi kapatikana halali unakumbuka uzalendo. Hizo ni sababu tu za ovyo kwenye kufanya hayo mapinduzi.

ECOWAS wana kila sababu ya kupambana na hii precedence ya regional block ambapo watu wakishindwa wanatafuta sababu za kujifanya wazalendo na kupindua nchi kwa kisingizio cha uzalendo.
Uchaguzi wa 2021 wa Niger ulipingwa na wananchi na wananchi wengi kufungwa na wengine kuuawa hakuna demokrasia katika hilo acha kutetea ufala dogo
 
Kuna Utanganyika na Uzanzibar Nyerere alifeli vibaya katika hili.

Wazanzibar wanachuki na Watanganyika pia sasa Watanganyika nao wamegeuka. Nyerere alitengeneza muungano wa kipumbavu kuwahi kuuona duniani.

Hakuna umoja baina ya Watanzania ipo watu wa hizi pande mbili watashirikiana mapanga kama jeshi la Tanganyika likiendelea na uharamia wake huko visiwani Zanzibar.

Zanzibar ikipata support ya mataifa ya nje hakika hii unayoita Tanzania damu itamwagika hata utumuwa ulikuwa na mwisho, Nyerere alifanya uvamizi na kupeleka ukoloni na utumwa Zanzibar.

Nyerere hawezi kutolewa mfano bora katika haya masuala
Shida ya Zanzibar ni inconsistent kwenye uzalendo wao CCM awapotezi muda kuteua watu ambao msimamo umenyooka katika muungano ndio maana inakuwa ngumu kutengeneza national sentiments.

Wanateua mmoja leo pro union anaefuata ana nusu sentiments za muungano nusu Zanzibar independence; jumlisha na upinzani ambao anti union lazima nationalism sentiments za utanzania zisiwepo visiwani.
 
Shida ya Zanzibar ni inconsistent kwenye uzalendo wao CCM awapotezi muda kuteua watu ambao msimamo umenyooka katika muungano ndio maana inakuwa ngumu kutengeneza national sentiments.

Wanateua mmoja leo pro union anaefuata ana nusu sentiments za muungano nusu Zanzibar independence; jumlisha na upinzani ambao anti union lazima nationalism sentiments za utanzania zisiwepo visiwani.
Muungano ungekubalika na Wazanzibar hayo yasingeweza kuwepo Ila muungano huu wa kimabavu na kikoloni unachukiwa Zanzibar ni vile Zanzibar nguvu yao imeminywa na jeshi la kikoloni la Watanganyika.
 
Uchaguzi wa 2021 wa Niger ulipingwa na wananchi na wananchi wengi kufungwa na wengine kuuawa hakuna demokrasia katika hilo acha kutetea ufala dogo
Sasa Bazoum alishinda vipi wakati yeye katokea minority ethinicity ambayo ni less than 1%, kwa influence gani aliyo nayo ya yeye kuingia madarakani kwa wizi wa kura.
 
Back
Top Bottom