Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Muungano ni divisive Zanzibar; lakini si kwamba unachukiwa na wote au kukubalika na wote.Muungano ungekubalika na Wazanzibar hayo yasingeweza kuwepo Ila muungano huu wa kimabavu na kikoloni unachukiwa Zanzibar ni vile Zanzibar nguvu yao imeminywa na jeshi la kikoloni la Watanganyika.
Kwani wizi wa kura unahitaji hayo au ujanja ujanja wa kifisadi na ulaghai. kwani upuuzi unao fanywa na CCM katika chaguzi unahitaji hayo.Sasa Bazoum alishinda vipi wakati yeye katokea minority ethinicity ambayo ni less than 1%, kwa influence gani aliyo nayo ya yeye kuingia madarakani kwa wizi wa kura.
It was unexpected,Hakuna mchambuzi yeyote Duniani aliewahi kufikiria kuwa vita ya Ukraine na Russia itaipasua vipande vipande jumuiya ya kiuchumi ya Afrika Magharibi
Mkuu tusiharibu mada ya Niger, kuwa ya siasa za Tanzania. Kuna jukwaa lake kwenye issue zetu.Kwani wizi wa kura unahitaji hayo au ujanja ujanja wa kifisadi na ulaghai. kwani upuuzi unao fanywa na CCM katika chaguzi unahitaji hayo.
Uchaguzi wa 2020 ulihitaji hayo ulikuweza kukamilisha upuuzi ule uliofanyika ?!.
Putin ni Msikivu sana, kawapelekea waafrika kile walichokua wanakishabikia (Vita)Hiyo Iko wazi,hili wimbi la mapinduzi ni kama moto wa nyika,wasipolishughulikia Sasa huu moto utazidi kuenea
Amka ndugu,usije jisaidia kitandani,nikuulize swali moja tu je unauhakika walishinda kihalali??ukinijibu nitakupa zawadi.Kuna uzalendo na kuna democracy.
Bazoum katokea kwenye minority group ya Niger, uchaguzi sera. Na hua Junta majority ni Hausa (part of Songhani people) na ndio almost 90% of the population sasa kwanini hawakunadi sera zao kwenye uchaguzi washinde including agenda ya kubadili terms mbaya za mikataba yao ya natural resources.
Leo uchaguzi umepita mshindi kapatikana halali unakumbuka uzalendo. Hizo ni sababu tu za ovyo kwenye kufanya hayo mapinduzi.
ECOWAS wana kila sababu ya kupambana na hii precedence ya regional block ambapo watu wakishindwa wanatafuta sababu za kujifanya wazalendo na kupindua nchi kwa kisingizio cha uzalendo.
Majority hawautaki muungano Zanzibar hii haitaji hata rocket science kuweza kutambua hilo ni kama vile ambavyo CCM haiitajiki Tanganyika kinachoweka uhai vitu hivi ni uharamia wa jeshi la kiharamia la Tanganyika kulinda upuuzi huu.Muungano ni divisive Zanzibar; lakini si kwamba unachukiwa na wote au kukubalika na wote.
Pro muungano ni CCM wengi, sema CCM bara mara nyingine huwa hawateuwi mtu sahihi ambae msimamo wake kwenye muungano auna shaka na hilo linachangia kuwaongezea nguvu wale wasioutaka CCM wanapokosea teuzi zao.
Sasa kama una information tofauti elezea.Amka ndugu,usije jisaidia kitandani,nikuulize swali moja tu je unauhakika walishinda kihalali??ukinijibu nitakupa zawadi.
Hapo ashukuriwe mkoloni kwa kutugawa vizuri na sio Nyerere. Ukiangalia vizuri utagundua nchi majiran zetu zote zina jamii ambazo haziendani na jamii za Tanzania kwa asilimia kubwa na mkoloni alifanikiwa kutujengea roho ya ubaguzi miongoni mwetu na nchi zinazotuzunguka japo unafiki unatusaidiaWatanzania inabidi tumuenzi Nyerere sijui aliwezaje kuwafanya watanzania wa mipakani kuweka uzalendo wao katika nchi wanayoishi, kuliko kujali ndugu zao wa upande wa pili mpakani katika maeneo mengi.
Nigeria imeonyesha mpasuko mkubwa watu wa north Nigeria wote waliompakani wenye urefu wa miles 930 na Niger awataki kabisa military intervention na kikubwa ni madai wana ndugu zao upande wa pili, kuna watu pande hizo wapo tayari kulihujumu jeshi lao la Nigeria wakiivamia Niger tena wapo wazi.
Unapata picha hakuna nationalism sentiments kabisa northern Nigeria. Inasikitisha sana kwa Tanzania kuona kazi kubwa aliyoifanya Nyerere halafu leo mijitu kama Jakaya Kikwete wanataka kuifanya Tanzania ni mali ya genge la wahuni wachache na familia zao.
Swali la kujiuliza kwa nn serikali zinapinduliwa? Kabla ya kuwashughurikia wapinduzi washughurikie kwanza kero zote zinazopelekea mapinduzi.Hiyo Iko wazi,hili wimbi la mapinduzi ni kama moto wa nyika,wasipolishughulikia Sasa huu moto utazidi kuenea
Juzi tu wamakonde wa kusini walikuwa wakiwaficha ndugu zao wa msumbiji kufanya ugaidi Tanzania; na wamakonde kadhaa wa Tanzania wamekamatwa upande wa pili wakishiriki kwenye matendo ya vita.Hapo ashukuriwe mkoloni kwa kutugawa vizuri na sio Nyerere. Ukiangalia vizuri utagundua nchi majiran zetu zote zina jamii ambazo haziendani na jamii za Tanzania kwa asilimia kubwa na mkoloni alifanikiwa kutujengea roho ya ubaguzi miongoni mwetu na nchi zinazotuzunguka japo unafiki unatusaidia
Ni sisi tu huku ndo tumehisi hivyo ila kwa wenzetu KGB sijui FSB, CIA, M16 sio kweli kwamba hakuweza kuliona hili.Hakuna mchambuzi yeyote Duniani aliewahi kufikiria kuwa vita ya Ukraine na Russia itaipasua vipande vipande jumuiya ya kiuchumi ya Afrika Magharibi
Watanzania tumeumbiwa hofu, tuna hofu. Pia tulinyimwa elimu, akili zetu zimelala. Hayati Nyerere alionesha uadilifu mkubwa saana wa uongozi ila hakuweka mazingira mazuri ya wanaokuja wawe waadilifu kama yeye, mwisho taifa likawa na viongozi wahuni kama akina jakaya, mkapa, magu na uyu mvaa kiremba. Wote waliomfata ni wezi kupindukika, hakuna uadilifu wowote ule.Watanzania inabidi tumuenzi Nyerere sijui aliwezaje kuwafanya watanzania wa mipakani kuweka uzalendo wao katika nchi wanayoishi, kuliko kujali ndugu zao wa upande wa pili mpakani katika maeneo mengi.
Nigeria imeonyesha mpasuko mkubwa watu wa north Nigeria wote waliompakani wenye urefu wa miles 930 na Niger awataki kabisa military intervention na kikubwa ni madai wana ndugu zao upande wa pili, kuna watu pande hizo wapo tayari kulihujumu jeshi lao la Nigeria wakiivamia Niger tena wapo wazi.
Unapata picha hakuna nationalism sentiments kabisa northern Nigeria. Inasikitisha sana kwa Tanzania kuona kazi kubwa aliyoifanya Nyerere halafu leo mijitu kama Jakaya Kikwete wanataka kuifanya Tanzania ni mali ya genge la wahuni wachache na familia zao.
Hii sentensi ya mwisho imenichekesha sana.Ni wakati wa Africa kuweka kikomo cha umri kwa mgombea wa nafasi ya uraisi.
Huyu hana cha kupoteza katika umri alionao anaona lolote ni sawa tu.
Mimi naamini uzee sio kigezo cha mtu kuwa na hekima.
Kwa hayo macho linaonekana kabisa halina akiliUpinzani mkali uliotokea ndani ya maseneti ya Nigeria na miongoni mwa wananchi imetajwa ni sababu kuu zilizopelekea muda uliotolewa kama ukomo wa kurudishwa Rais Bazoum wa Niger madarakani kupita bila kutokea chochote.
Raisi Bola Tinubu ambaye ni mwenyekiti wa sasa wa ECOWAS amelaumiwa kwa kutoa tamko la vitisho mapema kwa watawala wa kijeshi wa Niger hata baada ya kupata idhini kutoka kwa mabaraza hayo na kabla ya kushauriana kikamilifu na viongozi wengine wa ECOWAS.
Lawama nyengine dhidi yake ni kwa kule kutofikiria athari za ndani iwapo uingiliaji wa kijeshi huo utafanyika.
Amelaumiwa pia kutaka kuchukua hatua kali za kuyaridhisha mataifa ya nje kabla kufikiria hasara zitakazopatikana kwa ukanda mzima Afrika Magharibi.
Kitendo cha kuikatia Niger na kuiingiza nchi hiyo gizani kilifanyika kinyume na makubaliano yaliyofanyika katika ujenzi wa bwawa la umeme kwenye mto Niger.
Upande wa wananchi wameonekana kutokubaliana kabisa na uamuzi wa kuingilia kijeshi Niger wakiiona nchi hiyo kama ni ndugu wa karibu sana huku idadi kubwa ya watu wa Nigeria wakiwa na asili ya Niger na kinyume chake.
Niger kabla ya mgawanyo wa mipaka wa wakoloni hapo mwaka 1884 ilikuwa ni mwendelezo wa utawala mmoja na Nigeria.
Hii si mara ya mwanzo kwa kiongozi huyo kuchukua maamuzi ya haraka haraka na ya kipekee.Mara alipoingia madarakani alitoa tangazo la kusitisha ruzuku ya mafuta kwa wananchi jambo lillilopelekea machafuko makubwa nchini kote.
Nigeria's President Tinubu faces backlash over military intervention in Niger
View attachment 2711591
Demokrasia na Vyama vingi zimetuletea Majasiri wa Wizi na kutuondolea wa namna ya kina NandiKile kizazi Cha mapinduzi Nigeria hakipo tena, kama Obafemi Awolowo, Nnamdi Azikiwe, Abubakar Tafawa Balewa, Muhammadu Buhari, Abdullahi dan Fodio, Herbert Macaulay na Oliver Ogedengbe Macaulay.
Umejawa na chuki tuBado East Africa. Hapa kitawaka kumuondoa Mwarabu na Mhindi.