LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Nimesoma story na kutazama video ya jamaa walio jaribu kupindua serikali ya DRC nikaona hawa jamaa wala hata hawakuwa serious. Walikuwa ni kikundi cha comedian wameenda kufanya video kwa ajili ya Tiktok ili wapate viewers na likes .
Anaejua account yao ya Tiktok aiandike chini hapo tuwa follow
Anaejua account yao ya Tiktok aiandike chini hapo tuwa follow