Plot4Sale Mapinga baada ya Daraja la Bunju viwanja vilivyopimwa nauza!!!

Plot4Sale Mapinga baada ya Daraja la Bunju viwanja vilivyopimwa nauza!!!

Asante kwa maswali mazuri
1. Vimepimwa hati zipo katika mchakato ukinunua sasa hivi utaendelea na mchakato nakuwa katika jina lako
2.Maji ya Dawasco yapo mimi sijavuta kwakuwa nina visima hivyo sikuona haja hiyo pia kwakuwa sikai huko sikuona ulazima.
3.Nikaribu na barabara kwa wenyeji wa hapo panaitwa kiharaka
4.Mimi ni mmliki halali kwa zaidi ya maswali nimekuwekea namba piga kwa uhakiki zaidi.
5.Kweli kama mnunuaji huwezi kuomba kupunguziwa ukiwa katika keyboard's unataka kupunguziwa unakuja unaona unaomba kupunguziwa katika keyboard's napata ugumu kukujibu ila kwa faida ya wengine siwezi kujadili bei nyuma ya keyboard's
6.Nakukaribisha tufanye biashara.
nitakuja huko jumamosi lakini nawasiwasi kiharaka ni zaidi ya km tatu toka kwenye lami,,,bila kusahau nashukuru kwa majibu mazuri sory nikutaka kuelewa tu kama nilivoomba mwanzo so na wengine wajue
 
acha fujo,,si ndo nije unionyeshe maeneo niwe na more than one option,,,ingenuity also is key,,,matapeli wengi dar yenu
Kaka kiiza awezi kukutapeli akikutapeli niambie nikupeleke anapokunywa bia
 
Asante kwa maswali mazuri
1. Vimepimwa hati zipo katika mchakato ukinunua sasa hivi utaendelea na mchakato nakuwa katika jina lako
2.Maji ya Dawasco yapo mimi sijavuta kwakuwa nina visima hivyo sikuona haja hiyo pia kwakuwa sikai huko sikuona ulazima.
3.Nikaribu na barabara kwa wenyeji wa hapo panaitwa kiharaka
4.Mimi ni mmliki halali kwa zaidi ya maswali nimekuwekea namba piga kwa uhakiki zaidi.
5.Kweli kama mnunuaji huwezi kuomba kupunguziwa ukiwa katika keyboard's unataka kupunguziwa unakuja unaona unaomba kupunguziwa katika keyboard's napata ugumu kukujibu ila kwa faida ya wengine siwezi kujadili bei nyuma ya keyboard's
6.Nakukaribisha tufanye biashara.
Kwani kesi ya uvamizi imekwisha mahakamani?
 
Huoni unaharibu biashara za watu kwa ushabiki mandazi??Kwani ukikaa kimya utaonekana mjinga au sasa hivi ndo unaonekana mjinga??
Leo umempata,kuna watu kibao wapo humu kuchafua hali ya hewa.
 
Back
Top Bottom