Mapingamizi ya Musiba kwenye kesi yake dhidi ya Membe, yatupwa!








Bila shaka hata enzi zake hazikuwa huru so awe mpole
 
Hiyo mistari miwili ya mwisho katika ujumbe wake inamfanya aonekane..., acha nhifadhi niliyokusudia kuyaandika.

Nadhani asiwe mtu wa kutumia maneno mengi katika kuwasilisha anayokusudia kuyaeleza.
 
Musiba anategemea hisani ya God Father ambaye amekuwa akimtumikia kupata mradi wake.
 
Amenifurahisha na kunistaajabisha hapo kwenye ,, uhuru wa Mahakama” I mean Membe waache wengine waongee lkn siyo wewe, ulikuwa Waziri/Naibu kwa miaka 10 Wizara ya Mambo ya nje, je hiyo Mahakama haikuwa huru hadi ushangilie uhuru wake leo hii?
Una lakp jambo wewe..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amenifurahisha na kunistaajabisha hapo kwenye ,, uhuru wa Mahakama” I mean Membe waache wengine waongee lkn siyo wewe, ulikuwa Waziri/Naibu kwa miaka 10 Wizara ya Mambo ya nje, je hiyo Mahakama haikuwa huru hadi ushangilie uhuru wake leo hii?
Yeshapita hayo wala hayamuhusu sasahivi wacha apambane na hichi kikaragosi cha Meko aka Musiba
 
Saudia imewahukumu adhabu ya Kifo watu kadhaa iliyowatuma kumuua Mwandishi nguli wa habari Kashoggi
 
Safi sana JASUSI MBOBEZI naomba UMNYOOSHE huyo MULAGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…