Anton mwita
Member
- Dec 24, 2019
- 30
- 16
Usidhani yeye ni mjinga, anajua fika mahakama hiziko huru, na hilo halijaanza leo bali ni toka enzi yeye alipokuwa madarakani. Hata hawa wanaosema mahakama ziko huru sasa, sio kwamba hawajui haziko huru, lakini hawawezi kusema haziko huru wakati wao ndio wanaozifanya zisiwe huru.
Membe ni Kasisi........usisahau hilo!Ni HALLELUYA Mheshimiwa.
Una lakp jambo wewe..!Amenifurahisha na kunistaajabisha hapo kwenye ,, uhuru wa Mahakama” I mean Membe waache wengine waongee lkn siyo wewe, ulikuwa Waziri/Naibu kwa miaka 10 Wizara ya Mambo ya nje, je hiyo Mahakama haikuwa huru hadi ushangilie uhuru wake leo hii?
Ukiwa jasusi vizuri kuua tu mudawote?Dah...from jasusi mbobezi to this tweet gossip...
Very pathetic.
mahakama inakuwa huru pale wapinzani wa serikali wakishinda. Ikiwa kinyume chake eti mahakama imenunuliwa
Kwa nini unaniuliza mimi?
mahakama inakuwa huru pale wapinzani wa serikali wakishinda. Ikiwa kinyume chake eti mahakama imenunuliwa
Nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama wanachama wa CCMNyumbu wanahamishwa tena kwenye mjadala wa Membe na Msiba
Musiba anatolewa kafara 2020 kwy uchaguzi, kuleta imani katika chamaMusiba imekulwa kwake!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yeshapita hayo wala hayamuhusu sasahivi wacha apambane na hichi kikaragosi cha Meko aka MusibaAmenifurahisha na kunistaajabisha hapo kwenye ,, uhuru wa Mahakama” I mean Membe waache wengine waongee lkn siyo wewe, ulikuwa Waziri/Naibu kwa miaka 10 Wizara ya Mambo ya nje, je hiyo Mahakama haikuwa huru hadi ushangilie uhuru wake leo hii?
Kuna siku niliona anaombewa na wachungaji kama watano ndani ya ofisi yake huku akilia na kutokwa na makasi kama mtoto mdogo.
Hiviii... wewe pamoja na mumeo mnaweza kujilinganisha na mwamba #MEMBE@2020Nilishindwa mnasema mahakama sio huru!
Mkishindwa mahakama sio huru![emoji847]
Kweli membe umeporomoka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na siku hizi simsikii tena Musiba
MEMBE ANAKUJASaudia imewahukumu adhabu ya Kifo watu kadhaa iliyowatuma kumuua Mwandishi nguli wa habari Kashoggi