Uchaguzi 2020 Mapingamizi ya wana ACT-Ubungo dhidi ya Boniface Jacob ni zao la 'Witch-Hunting' ndani ya CHADEMA-Ubungo

Uchaguzi 2020 Mapingamizi ya wana ACT-Ubungo dhidi ya Boniface Jacob ni zao la 'Witch-Hunting' ndani ya CHADEMA-Ubungo

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Ndugu Boniface Jacob usishangae sana, wala usione kama usaliti kuhusu pingamizi za wana ACT dhidi yako na wagombea nafasi zingine wa CHADEMA ndani ya Jimbo la Ubungo. Zitto analaumiwa bure tu kwa zimwi mlilolitengeneza wenyewe CHADEMA.

Sishangai hii tabia ya waafrika wengi kukimbilia kulaumu watu juu ya matatizo yao wenyewe. Tunapenda kutafuta njia rahisi na ya mkato tunapotaka kutatua changamoto zetu, tunakwepa uwajibikaji pale tunapokosea.

We are inclined to follow heuristic approach when solving our problems, if that is not enough to explain our failure we tend to look for scapegoats. That's why Zitto 's name came first when CHADEMA followers are trying to find out who is real culprit of this untimely electoral candidate's objection.

BUT

"A heuristic is a mental shortcut that allows an individual to make a decision, pass judgment, or solve a problem quickly and with minimal mental effort. While heuristics can reduce the burden of decision-making and free up limited cognitive resources, they can also be costly when they lead individuals to miss critical information or act on unjust biases." __ soma zaidi Heuristics

"Heuristics can also contribute to things such as stereotypes and prejudice.6 Because people use mental shortcuts to classify and categorize people, they often overlook more relevant information and create stereotyped categorizations that are not in tune with reality." __ soma zaidi How Heuristics Help You Make Quick Decisions or Biases

Sisi wadadisi wa siasa za Ubungo tunajua baadhi ya wana CHADEMA walio ondoka chamani kwenu wamejiunga na ACT-Wazalendo, pia tunakumbuka jinsi mlivyo vurugana na kufukuzana ndani ya chama chenu kwenye jimbo na Wilaya ya Ubungo. Bahati mbaya sana kwako mvurugano ulipamba moto karibu na muda wa uchaguzi hivyo kusababisha kukosekana muda wa kutafuta suluhu mapema msifikie hali hii ya kukigawa chama chenu na kupunguza kura.

Nina wasiwasi sana kule Arusha pia CHADEMA itaathirika na tatizo kama hilo sababu ya mpasuko uliokuwa unaendelea na kusababisha kufukuzana chama au watu kuhama wenyewe CHADEMA. Tuliwahi kutoa angalizo lile zoezi la kutafuta wachawi (Witch hunting) na wasaliti ndani ya chama chenu linaweza kuleta madhara na kuwapunguzia kura uchaguzi mkuu wa 2020.

Wewe na ndugu Lema mkibahatika kushinda uchaguzi huu inatakiwa mjitathimini na kuachana na siasa za kukigawa chama kwenye makundi.

Nawatakieni uchaguzi mwema.
 
Ndugu Boniface Jacob usishangae sana, wala usione kama usaliti kuhusu pingamizi za wana ACT dhidi yako na wagombea nafasi zingine wa CHADEMA ndani ya Jimbo la Ubungo. Zitto analaumiwa bure tu kwa zimwi mlilolitengeneza wenyewe CHADEMA...
Hovyo kabisa walioweka pingamizi ni wana ACt dhidi ya chadema wewe u asema ni Chadwma dhidi ya chadema.

Imbecile
 
Ndugu Boniface Jacob usishangae sana, wala usione kama usaliti kuhusu pingamizi za wana ACT dhidi yako na wagombea nafasi zingine wa CHADEMA ndani ya Jimbo la Ubungo. Zitto analaumiwa bure tu kwa zimwi mlilolitengeneza wenyewe CHADEMA...

Mapingamizi dhidi ya wagombea wowote ni sawa na hamna haja ya kulalamika. Yote ni kwa mujibu wa sheria.

Matokeo yake yatakuwa chanya inshallah.

Tusishangae mapingamizi haya na yale ya wagombea urais yaliyotupwa yakawa ni msingi mzuri wa maridhiano ya kiaina katika kurekebisha zile pita pita za bila kupingwa za kina pm, kaboodi, abudi na wengineo wengi. Pia hata yale makesi kesi ya kubumba bumba.

Tutembee vifua mbele tuko kwenye right track.
 
Ulichokiandika kina "make sense" hiyo sababu itakuwa imechangia kwa kiasi fulani hao jamaa wa ACT kuwawekea pingamizi Chadema, wanajaribu kuwapunguza nguvu waongeze chance yao ya kushinda hizo nafasi.
 
Hujui kitu mkuu , chadema haiwezi kufuga wasaliti eti kwa kuhofia mamluki kuhujumu , Never ever !
Unafikiri mwenyekiti wa CCM na jopo la viongozi wenzie wa juu wa chama chao walipenda kuwarudisha kundini akina Nape?
Walijua faida ya kuvumiliana na umoja ni nguvu ya ushindi.
 
Hovyo kabisa walioweka pingamizi ni wana ACt dhidi ya chadema wewe u asema ni Chadwma dhidi ya chadema.

Imbecile
Hapa ndipo ilipofikia elimu yetu.
Umeambiwa kuna wanachama wa CHADEMA waliohamia ACT na kwenda kugombea nafasi ambayo CHADEMA pia wanagombea, hao ndiyo wasanifu wa haya mapingamizi.

Ukiona mtu anakimbilia matusi na kukashifu ujue huyo ni lazy thinker siyo great thinker.
Umekurupuka kujibu kabla ya kusoma na kuelewa, vinginevyo unanipa ushaidi hujui nini kinaendelea ndani ya CHADEMA Ubongo.
 
😅😅😅
Ni laiki yesitadei.. ilikuwa vivyo hivyo.. kwa kipngozi wake kutendea wengine.. hakuna hayo.. bachwawi ni CDM wenyewe.. na bado..

Magufuli 2020 na wote chini yake ni 💯
 
Boniface kavurugana sana na Kubenea huko Ubungo mpaka Kubenea kaona isiwe tabu akaingia zake ACT.

Sasa tatizo Boniface anataka bifu yake na mgombea wa ACT iwe ya vyama viwili wakati ni personal issues
Ahsante sana kwa kuliona hili jambo kwa undani.

Labda nikuongezee taarifa zaidi, kuna habari za chini ya zulia kwamba kuna watu walikuwa na nyadhifa mbalimbali ndani ya CHADEMA Ubungo, wengine walikuwa na nyadhifa ndani ya serikali za mitaa wamehamia ACT na wanagombea udiwani. Sitawataja hapa nawaachia wapiga kelele bila tafiti wakafuatilie chamani kwao juu ya jambo hili.

Mgogoro wa Ubungo ni zaidi ya Boniface na Kubenea, kuna wengine wa chini yao wamegawana mbao za kutengenezea jahazi moja la kuwavusha uchaguzi wa 2020.
 
Long lines but nonsense
Unafikiri ukimpa babu yako kitabu chenye formula ya kutengeneza Coke (Coca Cola) soda ataona umuhimu wake au ataelewa kitu?
Ataona ni nonsense tu kwa kiwango chake cha uelewa, sawa sawa tu na wewe ukipewa blueprints za kutengeneza simu ya iphone.

Ila ukiwapa vitu hivyo watu wenye uelewa navyo watashangilia umewapa utajiri.
 
umesoma vizuri ukaelewa ama unakurupuka tu

Tatizo lao hawa ni nyumbu, huwa hawajui madhala ya kuvuka mto hata kama wanaona mwenzao analiwa,
Umeeleza vizuri lakini mtu anakurupuka tu kuvuka mto tu bila kujari mamba.
Pole sana huwezi kueleweka kwa hawa bavicha.
 
Hujui kitu mkuu , chadema haiwezi kufuga wasaliti eti kwa kuhofia mamluki kuhujumu , Never ever !
Wasaliti wamebaki lakini wapambanaji wameondoka.

Msijitekenye kinafiki. Arusha kuna mpasuko mkubwa na mtaona matokeo soonest
 
Ole sosopi alimuwekea pingamizi mgombea wa ACT jimbo la Isimani ila sijaona ACT wakiilalamikia chadema. Ila ilipotokea renatus pamba kumuwekea pingamizi boni povu linawaendea ACT
Boniface kavurugana sana na Kubenea huko Ubungo mpaka Kubenea kaona isiwe tabu akaingia zake ACT.

Sasa tatizo Boniface anataka bifu yake na mgombea wa ACT iwe ya vyama viwili wakati ni personal issues
 
Ole sosopi alimuwekea pingamizi mgombea wa ACT jimbo la Isimani ila sijaona ACT wakiilalamikia chadema. Ila ilipotokea renatus pamba kumuwekea pingamizi boni povu linawaendea ACT

Kuna watu wanataka ACT iwe Subservient kwa Chadema (Ni kama mfumo Kristo ulivyo nchini, jambo fulani akifanya muislamu inakuwa nongwa, ila akifanya Mkiristo its not a big deal)
 
Kuna watu wa chadema walienda kulalamika kwa zitto, zitto akasema atalifuatilia ila ila naye akawauliza je imekuwaje na nyie chadema mmewaekea pingamizi madiwani wa ACT kule wazo??
Kilichofata wakaporomosha matusi
Kuna watu wanataka ACT iwe Subservient kwa Chadema (Ni kama mfumo Kristo ulivyo nchini, jambo fulani akifanya muislamu inakuwa nongwa, ila akifanya Mkiristo its not a big deal)
 
Back
Top Bottom