zigii
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 515
- 211
Unafikiri mwenyekiti wa CCM na jopo la viongozi wenzie wa juu wa chama chao walipenda kuwarudisha kundini akina Nape?
Walijua faida ya kuvumiliana na umoja ni nguvu ya ushindi.
Kule kwa akina nape kuna DOLA na nilazima waheshimu na wawe wapole na wao wanalijua hilo usilinganishe na chama kisichokuwa na dola