Sisikiagi ladha yake zaidi ya kuufeel utelezi wakeHahaaaa!
Kwanini huzipendi?
Dah...,Bamia huwa sizielewi kwa kweli,sio siku hizi ni tangu zamani
Ule utelezi ndio wenyewe sasa yaani kitu laaaiiiiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.....Sisikiagi ladha yake zaidi ya kuufeel utelezi wake
Sasa ndio nimepatia picha hiyo soup ikichanganywa na bamia itakavyokuwa inateleza
Hehe mbona samaki hajapikwa mkuu, au mchemsho huu ndo ulivyo?Shukrani bibie..mchemsho mzuri huu nimeupenda
Nime_imagine tu mkuuHehe mbona samaki hajapikwa mkuu, au mchemsho huu ndo ulivyo?
Ha ha ha, au weka mhogoSisikiagi ladha yake zaidi ya kuufeel utelezi wake
Sasa ndio nimepatia picha hiyo soup ikichanganywa na bamia itakavyokuwa inateleza