kiukweli hizi chapati zilisha nishinda yani kutoa kiwango kabiisa...
ππππππ nitalipa jaman japo posho za vitafunwa zilipigwa pini...ukiweza kumaliza chapati nne unaondoka bila kulipa! dah
Mkuu sio kwa sababu hiyo ni kitu ambacho nakula nikiwa na njaa sana hata iwe laini kama maini [emoji12]Mkuu utakuwa ulipikiwa mbao. CHAPATI ni moja ya kitafunwa Pendwa hapa barazani kwangu.
Kwa hilo nimeshafeli kabisa hata kurudia haiwezekani daahJifunze um-surprise my-husband-wako.
Mhh! Walisema kipimo cha mke bora basi ni mapishi yake ya chapati, sasa kama hujui kupika kabisa...sijuiiii!!!
Lol. Hiliki, mayai sijui maziwa hizo zitakuwa ni modified chapatis sio zile za asili. Kama kuweka chumvi kwenye maandazi pia haihusu[emoji3]Duh punguza majivuni spinderella my dear,
Sote tunajifunza. Kuhusu origin ya chapati hata hao wa pwani walikopa kutoka kwa wahindi wakaiboresha.
Si vibaya mtu akiongeza a pinch of suga ama iliki vyote ni ili kuboresha chapati yako. Akiweka yai ama maziwa na ikatoka chapati bado sijaona lililoharibika. Hakuna definition moja ya chapati.
Basi nadhani ni sahihi kuhitimisha kuwa ubaridi/jotoridi la maji haliathiri chochote kwenye chapati yako ila ukandaji wako.
Nashukuru kwa hili.
Ni sahihi swali lako. labda ambaye amewahi kupika chapati kwa kutumia maji baridi aje atueleze pia itatusaidia.
Cc: espy miss chagga Dinazarde Mkunde Original Nifah sister everlenk MziziMkavu Nyani Ngabu
Lol. Hiliki, mayai sijui maziwa hizo zitakuwa ni modified chapatis sio zile za asili. Kama kuweka chumvi kwenye maandazi pia haihusu[emoji3]
Mbona chapati yenyewe transparent sana...
Hiyo ya maji baridi niliwahi kujaribu na chapati zinakuwa lainiii.
Whaaat!Jifunze um-surprise my-husband-wako.
Mhh! Walisema kipimo cha mke bora basi ni mapishi yake ya chapati, sasa kama hujui kupika kabisa...sijuiiii!!!
Mimi daima hutumia maji baridi ktk mapishi ya chapati za kusukuma.Ni sahihi swali lako. labda ambaye amewahi kupika chapati kwa kutumia maji baridi aje atueleze pia itatusaidia.
Cc: espy miss chagga Dinazarde Mkunde Original Nifah sister everlenk MziziMkavu Nyani Ngabu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pipo bwana?Mbona mimi nimeamini kabisa?Nikiona gazeti la udaku apo nitaamini hizo picha,.
Mkuu au linganisha mkono huu na huo uliopo kwenye picha zilizoambatanishwa kwenye thread. Usipoamini hapo basi tena...
View attachment 455454