Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii umeiwekea na carrot, mpaka nimeitamani, yaani!!
yap!carrotHii umeiwekea na carrot, mpaka nimeitamani, yaani!!
Daaah tunahariniana dieti
Hizo procedure ziko wapi!? Uliweza connect watu huko skype? Tunaanzaje kujua kama ni kazi ya mikono yako...picha hizi mmmh [emoji848][emoji848][emoji848]Karibu thanaView attachment 809864
Karibu unywee chai. Naona wewe mgeni humuHizo procedure ziko wapi!? Uliweza connect watu huko skype? Tunaanzaje kujua kama ni kazi ya mikono yako...picha hizi mmmh [emoji848][emoji848][emoji848]
Nataka kukaribia kweli...nipe route!Karibu unywee chai. Naona wewe mgeni humuView attachment 810416
Panda bombardier shuka mwishoniNataka kukaribia kweli...nipe route!
Mkuu nkajua natakiwa kupanda drimu laina! Inaonekama unakaa vichochoroniPanda bombardier shuka mwishoni
hhhahaha mm wa diet siwezi hyo ligiDaaah tunahariniana dieti