bluetooth JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 4,402 Reaction score 2,550 Mar 21, 2016 #21 asante sana Pilipilihoho Pilipilihoho said: nilikumbuka ni game Click to expand...
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Mar 21, 2016 #22 Hili pishi halifai kukaanga mapaja ni wings tu? π
Pilipilihoho JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 202 Reaction score 145 Mar 22, 2016 Thread starter #23 Evelyn Salt said: Hili pishi halifai kukaanga mapaja ni wings tu? π Click to expand... πpishi hili ni tamu sana, tena jinsi ya kupika ni rahisi
Evelyn Salt said: Hili pishi halifai kukaanga mapaja ni wings tu? π Click to expand... πpishi hili ni tamu sana, tena jinsi ya kupika ni rahisi
Meljons JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 3,105 Reaction score 1,406 Mar 22, 2016 #24 Hapa mwishoni umesema "tia chumvi subiri kwa muda wakati unapoona coca imeisha"...... ni inaisha kwa kuchemka sana au ni namna gani?
Hapa mwishoni umesema "tia chumvi subiri kwa muda wakati unapoona coca imeisha"...... ni inaisha kwa kuchemka sana au ni namna gani?
Pilipilihoho JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 202 Reaction score 145 Mar 22, 2016 Thread starter #25
Pilipilihoho JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 202 Reaction score 145 Mar 22, 2016 Thread starter #26 Meljons said: Hapa mwishoni umesema "tia chumvi subiri kwa muda wakati unapoona coca imeisha"...... ni inaisha kwa kuchemka sana au ni namna gani? Click to expand... Tia chumvi, halafu subiri kwa muda,halafu baada ya muda,ukiona koka kola imeisha......
Meljons said: Hapa mwishoni umesema "tia chumvi subiri kwa muda wakati unapoona coca imeisha"...... ni inaisha kwa kuchemka sana au ni namna gani? Click to expand... Tia chumvi, halafu subiri kwa muda,halafu baada ya muda,ukiona koka kola imeisha......