Mitahitaji
Kuku....kata vipande vipande
Celery
Brocolli
Carrot
Kitunguu maji
Nyanya....
Curry powder
Ndimu
Chumvi
Garlic
Tangawizi
Bizari ya pilau
Tandoor masala (au masala upendayo)....
Pilipili mboga
Namna ya kutaarisha
Weka kuku katika sufuria...tia tangawizi,saumu,pilipili manga na bizari ya pilau kaanga kdg then funika ichemke kwa maji yake wenyewe.....weka moto mdogo ili isiungue
Weka maji kdg kdg hadi kuwiva,kausha hadi ibaki supu kdg then add viaze na tandoor masala voache viazi viwive na kuku hadi vikauke kabisa......
Katika pan add mafuta then kaanga kitunguu,pilipili boga na saumu kwa dakika 5
Add nyanya hadi ziwive...
Weka celery na brocolli (usiache viwive kabisa vina taste vizuri vikiwiva half way)
Koroga vizuri mchanganyiko wako
Weka chumvi na ndimu (usiwe maji acha viwive wenyewe)
Add kuku wako na viazi ulivopika awali
Changanya na vegetable then epua
Tayar kwa kula
Kuku....kata vipande vipande
Celery
Brocolli
Carrot
Kitunguu maji
Nyanya....
Curry powder
Ndimu
Chumvi
Garlic
Tangawizi
Bizari ya pilau
Tandoor masala (au masala upendayo)....
Pilipili mboga
Namna ya kutaarisha
Weka kuku katika sufuria...tia tangawizi,saumu,pilipili manga na bizari ya pilau kaanga kdg then funika ichemke kwa maji yake wenyewe.....weka moto mdogo ili isiungue
Weka maji kdg kdg hadi kuwiva,kausha hadi ibaki supu kdg then add viaze na tandoor masala voache viazi viwive na kuku hadi vikauke kabisa......
Katika pan add mafuta then kaanga kitunguu,pilipili boga na saumu kwa dakika 5
Add nyanya hadi ziwive...
Weka celery na brocolli (usiache viwive kabisa vina taste vizuri vikiwiva half way)
Koroga vizuri mchanganyiko wako
Weka chumvi na ndimu (usiwe maji acha viwive wenyewe)
Add kuku wako na viazi ulivopika awali
Changanya na vegetable then epua
Tayar kwa kula