Mapishi ya Ndizi Utumbo

Mapishi ya Ndizi Utumbo

na glasi ya maziwa yereee uwii ni sheeedah kudos dadaa..:A S wink:
 
Mhhh, Natamani kuzigeuze kutoka picha kuwa kweli, hadi njaa imeuma ghafla.
 
Thanks mamy hii ndio huwa menu yangu ya weekend Jmos au Jpili

Nikimalizia nashushia na wine Kidogo

Burudani tosha
 
asantee, mi hii kitu napenda mno, tena utumbo nisipunjwe, shukran
 
Da #farkhina mie hiki ni chakula nnachokipenda mno, na huwa sijipunji nkikipika(au kupikiwa),yani naweka utumbo mwingi kuliko hata ndizi yaani inakuwa sio ndizi utumbo bali UTUMBO NDIZI....tena na nazi huiweka ikakolea shatashata hahaa hata "mama Ngina" anajiramba wakati wa kula
 
My dia farkhina hiyo ni aina gani ya ndizi??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom