Mapishi ya Pilau

Mapishi ya Pilau

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,089
Reaction score
424
Waungwana naombeni msaada wa kupika pilau simple bila nyama mana uchumi hauruhusu
 
Haitanoga kabisa labda kama unataka upike pilau la maharage
 
Weka njegere ulizochemsha na viazi mwaya.
na c lazma achemshe njegere.anaweza akapikia humohumo kipindi anaweka viungo.na km haina nyama anaweza akaweka nazi kwa ladha zaid
 
na c lazma achemshe njegere.anaweza akapikia humohumo kipindi anaweka viungo.na km haina nyama anaweza akaweka nazi kwa ladha zaid

He he hujamsikia ana budget Kali mwenzako nyama imemshinda nazi being juu.njegere hazishikiki
 
He he hujamsikia ana budget Kali mwenzako nyama imemshinda nazi being juu.njegere hazishikiki
bac apike la kawaida actie njegere wala nn zaid ya viungo.hiyo tunaita pilau bubu
 
  • Thanks
Reactions: amu
bac apike la kawaida actie njegere wala nn zaid ya viungo.hiyo tunaita pilau bubu

Kweli kabisa name viungo anunue vile vya kwa mangi sh 50 hamsini hamsini tu lol
 
Kweli kabisa name viungo anunue vile vya kwa mangi sh 50 hamsini hamsini tu lol
amu umeua.hapo aweke na jira japo inukie majirani wahamasike otherwise hhiyo ni pilau bubu au wali wa rangi.raha ya pilau nyama au samaki.
 
Unapika kama kawaida tu ila ndo huweki nyama. jamani wengne wana imani za kirasta hawali nyama! Me mwenyewe napenda pilau bubu na rosti ya nyama au maini pembeni, linanogaje!
 
Angalia hii
 

Attachments

  • 1396496822020.jpg
    1396496822020.jpg
    93.2 KB · Views: 583
Back
Top Bottom