Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uvccma wanahusika vipi?Kahama imekuwa jiji tangu lini? UVCCM ni janga la nchi
Kilichonishangaza kuna watu kwenye huo umati hawajui ni nani anapokelewa
Punguza dharau. Unaita watu vichaa kisa sio CCM . Halafu mmeichagua CCM kuanzia Mwenyekiti wa mtaa, diwani, mbunge,mpaka Rais, lakini mnamtegemea Lissu ndio aongelee ajira na uchumi. Wakati bungeni mmejaza wanaccm wenye mamlaka ya kushughulikia uchumi.Watu wanakuja kumshangaa kichaa Lisu, kwenye hotuba zake hazungumzii ajira Wala uchumi
Katiba yetu sio nzuri kabisaChadema haina haja ya kufanya uchaguzi wa mwenyekiti ANATOSHA!