Pre GE2025 Mapokezi Makubwa ya Tundu Lissu yaandaliwa Ikungi 15/02/2025

Pre GE2025 Mapokezi Makubwa ya Tundu Lissu yaandaliwa Ikungi 15/02/2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2025-02-03-13-14-45-1.png


Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
 
Ikungi ni kijiji kidogo sana na hakina ushawishi wowote..

Hii ngoma angetakiwa aijaze Uwanja wa Namfua...

Organization na political mileage namna gani pale
 
Kila la heri kwake
View attachment 3223501

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
 
hii nayo ni habari
View attachment 3223501

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
?Hii nayo ni habari? Inatuhusu nini.
 
Kimsingi hii ni pigo kubwaaaa sana pale kwa majirani maana media zote zitamulika Ikungi. Na Ikungi itatambulika dunia nzima ✌️✌️✌️
 
View attachment 3223501

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
Utamsikia kamanda wa polisi mkoa akihutubia hivi punde kutahadharisha hali ya hatari na kuzuia mapokezi au shughuli zozote za kisiasa.
 
Chawa wa Lissu naona wanacheka, watamganda chawa hawa hawa mpaka atoke mapele
 
Naona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe kama wajinga.
Cde naona roho imekupasuka si unakumbuka uchaguzi wa CHADEMA Taifa ulivyofaana?

Halafu na uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti na Mgombea wa uraisi na mgombea mwenza ulivyodorora?

Usiumie Cde mapenzi yana nguvu kuliko pesa, wasanii, Majeshi na vyombo vyote vya ulinzi na usalama
 
View attachment 3223501

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
Ni pesa yake tu kujiandalia mapokezi

Mkono mtupu haulambwi

Aandae pesa tu atapokelewa kifalme na bajaji,bodaboda,daladala,watu waliolipwa kujipanga barabarani nk ni pesa yake tu
 
View attachment 3223501

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
Nitakuwepooo. ..peopleeeessss
 
Back
Top Bottom