Pre GE2025 Mapokezi Makubwa ya Tundu Lissu yaandaliwa Ikungi 15/02/2025

Pre GE2025 Mapokezi Makubwa ya Tundu Lissu yaandaliwa Ikungi 15/02/2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 3223501

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
Msipokuwa makini hiki Chama kitageuka kuwa kituko kinaishia kufanya mikutano Airport, Ikungi na Makao makuu Kama wale wale wahuni zambarau wanafanyia siasa zao za masuala Tunduru -Pemba na Ujiji halafu wanaingia Twitter kutwit wamejipanga kuongoza nchi.


Nchi ina vituko sana hii



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 3223501

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
Ingeuwa enzi za jpm asingeruhusiwa kukanyaga kwao landa aingie kimya kimya bila watu kujua
 
anakwenda TUndulisu ,anapiga chenga anapiga tobo pale samia chini

anakwenda anakwenda anapiga pale chenga na tobo mbowe anashangaa gooooo
 
Ikungi ni kijiji kidogo sana na hakina ushawishi wowote..

Hii ngoma angetakiwa aijaze Uwanja wa Namfua...

Organization na political mileage namna gani pale
cha msingi ukubalike kwenu kwanza hata kama wako 10, wakikukubali huko mbele njia nyeupe namfua patajazwa tu siku ikifika
 
Ni pesa yake tu kujiandalia mapokezi

Mkono mtupu haulambwi

Aandae pesa tu atapokelewa kifalme na bajaji,bodaboda,daladala,watu waliolipwa kujipanga barabarani nk ni pesa yake tu
Asante kwa huu uzoefu toka ccm.
 
Ikungi ni kijiji kidogo sana na hakina ushawishi wowote..

Hii ngoma angetakiwa aijaze Uwanja wa Namfua...

Organization na political mileage namna gani pale
namfua(liti) siku hizi hautumiki kwa shughuli zisizo za mpira, uwanja ni bombardier (peoples). Lissu akitaka apokelewe na nyomi la wananchi afike singida mjini, na ndio atapima upepo wa kuelekea kampeni za uchaguzi mkuu unamvumiaje huko Singida japo ni ngome ya CCM
 
Ukubwa wa Mapokezi ni pale kijiji kizima kinapokuja kukupokea, hata kama wako 20 tu
Mahambe ni kijiji kidogo nje ya Ikungi, vibe litakuwa dogo, labda kama kuna vijiji vya jirani vitahudhuria kumuona kijana wao akiwa kwenye madaraka makubwa ya kuwa mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania
 
Singida nzima hakuna vibe la upinzani, ni ngome ya CCM. Lissu anaenda nyumbani tu kama kawaida. Labda wanachama wachache wa CHADEMA wilaya ya Ikungi wamuandalie mapokezi ya heshima kwa mujibu wa itifaki zao. Ni bora huyo mwenyekiti wa CHADEMA akafika mkoani pale Missuna iliko ofisi yao ya mkoa akasalimie huko. Hata akiamua kusalimia wananchi wapiga kura wake si vibaya, wananchi wana imani naye awasalimie tu
 
View attachment 3223501

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anatarajia kuwasili kijijini kwao Ikungi Tarehe 15/02/2025.

Lengo la ziara hiyo haikusemwa, bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna anayewekewa masharti ya kwenda nyumbani kwao kusalimia Wazee.

Japo Taarifa nilizopenyezewa zinadokeza kwamba Lissu atakutana na Wazee wa kwao kwa lengo la kuchota Busara zao, hasa baada ya kupewa Madaraka ya Juu kabisa kwenye Chama chake.
Ubeleji anaenda lini?
 
Back
Top Bottom