OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ni ngumu sana kuacha kufuatilia mambo ya aibu na ajabu yanayofanywa na Yanga.Wewe kimekuuma kipi? Kufatilia yasiyokuhusu ni dalili mbaya, kazi ya umbea tuachie wanawake maana ndio wenye fani zao
Mi namkumbuka Rage, kwamba washabiki wa Simba ni mambumbumbu.Ntamkumbuka sana yule kocha wao. Lucy Eymel, hakika hakukosea.
Manyani ni utopolo kweli.
.Ntamkumbuka sana yule kocha wao...Lucy Eymel....hakika hakukosea....
Manyani ni utopolo kweli.....
Shika lako.Huyo mkata mauno wao calinyos kaishia wapi.
Eti yule mcheza kibao kata kalinyos,yuko wapi cku izi?Shika lako.