Mapokezi makubwa yanaandaliwa kuwapokea Agnes masogange na ndugu yake, mnaombwa kuwepo airport

Mapokezi makubwa yanaandaliwa kuwapokea Agnes masogange na ndugu yake, mnaombwa kuwepo airport

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Nimepata taharifa kutoka kwa mtu wa karibu na Agnes masogange kuwa wanaandaa mapokezi makubwa airport ya kuwapokea ,kinachosubiriwa sasa ni Tarehe rasmi ya kuja,pia ikitangazwa mnaombwa kuja uwanja wa ndege kuwapokea
 
Mnh! Jamii Forum inawekwa post za kidaku na ear say tupu. Ama kweli siku hazigandi. Ila wahusika mnaharibu hili jukwaa.
 
Tanzania kweli nchi ya vilaza,haijui kumtofautisha hero na mpuuzi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Money Stunna hiyo habari umeitoa wapi?
wanakuja huku kufanya nini wakati case haija kwisha?
hii mbona kama habari mpya?
7
wale wako nje kwa dhamana na uchunguzi unaendelea kule kule.

bila shaka hawaruhusiwi kutoka nje ya south africa.
 
Last edited by a moderator:
Nimepata taharifa kutoka kwa mtu wa karibu na Agnes masogange kuwa wanaandaa mapokezi makubwa airport ya kuwapokea ,kinachosubiriwa sasa ni Tarehe rasmi ya kuja,pia ikitangazwa mnaombwa kuja uwanja wa ndege kuwapokea

huu ni uongo. time will tell
 
Hili ni fundisho kwa viongozi wapenda sifa kuacha kukurupuka
 
Money Stunna hiyo habari umeitoa wapi?
wanakuja huku kufanya nini wakati case haija kwisha?
hii mbona kama habari mpya?
7
wale wako nje kwa dhamana na uchunguzi unaendelea kule kule.

bila shaka hawaruhusiwi kutoka nje ya south africa.

Mkuu kesi imeisha. Mahakama imesema walibeba chemical ,wametozwa fine ya million 4.8 Tshs washalipiwa nusu. Hivo zikilipwa nyingine nusu wanaruhusiwa kurudi tz
.mwakyembe alikurupuka kufukuza watu kazi
 
Last edited by a moderator:
Nimepata taharifa kutoka kwa mtu wa karibu na Agnes masogange kuwa wanaandaa mapokezi makubwa airport ya kuwapokea ,kinachosubiriwa sasa ni Tarehe rasmi ya kuja,pia ikitangazwa mnaombwa kuja uwanja wa ndege kuwapokea

tukampokee kwakua amefanya jambo la kishujaa na kiufahari kwa ajili ya nchi yetu au tukampokee kwa lipi hasa?yani nitoke huku ninakotoka niendee nikampokee huyo punda/kontena labda km nina wazimu lakini sio Kibol huyu ninaemjua
 
Mkuu kesi imeisha. Mahakama imesema walibeba chemical ,wametozwa fine ya million 4.8 Tshs washalipiwa nusu. Hivo zikilipwa nyingine nusu wanaruhusiwa kurudi tz
.mwakyembe alikurupuka kufukuza watu kazi
Money Stunna
lini ilikuwa hearing ya mwisho kwenye case hii? hipi ni source yako ya habari? ikiwezekana nipe link.

hiyo fine wamelipiwa na nani?
Na hiyo chemical walio beba inaitwaje?

Sasa kama hawajamaliza fine kama ulivyosema inakuwaje wawe huru?
 
Last edited by a moderator:
mmh ama kwl kaz ipo,2wapokee wa kaz gn hao mapunda,na ni nan hasa??.by de way case haijaisha wako nje kw dhaman na hawaruhusiwe kutoka nje ya south
 
Money Stunna
lini ilikuwa hearing ya mwisho kwenye case hii? hipi ni source yako ya habari? ikiwezekana nipe link.

hiyo fine wamelipiwa na nani?
Na hiyo chemical walio beba inaitwaje?

Sasa kama hawajamaliza fine kama ulivyosema inakuwaje wawe huru?

Wametoka ila hawawezi kuja nchini kwasababu aliyewashikia mdhamana hajamalizia kiasi alichotakiwa atoe. Faini ilikuwa ni 4.8 million. Kwahiyo katoa nusu.
 
Last edited by a moderator:
mmh ama kwl kaz ipo,2wapokee wa kaz gn hao mapunda,na ni nan hasa??.by de way case haijaisha wako nje kw dhaman na hawaruhusiwe kutoka nje ya south
Mambo za dhamana aikuwa kweli .wameshinda kesi ila wametozwa fine tu kwa kubeba chemical.
 

ok sasa nimeclear my all doubt japo ulitakiwa kuiweka hiyo habari kama ilivyo na source yake.
lakini japo na pata shaka na hii adhabu maana ni wazi yale madawa(chemical) walio beba ni wazi walikuwa wana jihusisha na biashara ya madawa ya kulevya

Sasa naanza kuelewa kwa nini lukuvi alisema serikali inafatilia hii case kwa karibu tofauti na case myingine zilizo pata kutokea.

Alaf sidhani kama walisema hizo chemical walipata wapi na nani mmiliki wa hizo chemica
 
Wametoka ila hawawezi kuja nchini kwasababu aliyewashikia mdhamana hajamalizia kiasi alichotakiwa atoe. Faini ilikuwa ni 4.8 million. Kwahiyo katoa nusu.

habari kutoka www.mwananchi.ac.tz inaonesha kuwa wako huru baada ya lulipa fine.
 
eti mnaombwa kuwepo airport, mleta post hujielewi :kev:
 
Back
Top Bottom