Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Nimepata taharifa kutoka kwa mtu wa karibu na Agnes masogange kuwa wanaandaa mapokezi makubwa airport ya kuwapokea ,kinachosubiriwa sasa ni Tarehe rasmi ya kuja,pia ikitangazwa mnaombwa kuja uwanja wa ndege kuwapokea