Mapokezi ya Freeman Mbowe yatikisa Musoma Mjini

Umeogeza chumvi, Katika hiyo nukuu uliyoweka kutoka gazeti la Mwananchi Mbowe hakutaja nafasi ya uraisi, nanukuu
"Mwanza. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amekiri kuwa walikuwa na baadhi ya wagombea ambao hawakuwa wakikubalika kwenye maeneo waliyogombea nafasi mbalimbali ikiwemo ubunge na madiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…