mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Mteteziwa wanyonge, wanyonge kweli mliwanyongamtanyooka na mtamkumbuka sana kwenu shetani lakini sisi tunamuona mtetezi wa wanyonge
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mteteziwa wanyonge, wanyonge kweli mliwanyongamtanyooka na mtamkumbuka sana kwenu shetani lakini sisi tunamuona mtetezi wa wanyonge
Why do u have to put "ngosha" in there, do u know him?ngosha angalia na kijibando kidogo
Mawazo hasi huzaa matendo hasiWhy do u have to put "ngosha" in there, do u know him?
Mkiitwa wakabila, mnabisha. Bro/ who de fvck ever u are, nyinyi sahauni kuhodhi madaraka hii nchi.
Na mm ni mchaga
Mfano kama nani mwingine angefaa? Nipe majina matatu tu.Ukiangalia haraka haraka utafikir ni mapokezi ya mwenyekiti wa CHAUMMA ndugu Hashim Rungwe Spunda.
CDM wanaamini Mbowe pekee ndio mwenye akili timamu ndan ya Chama Chao ndio maana hawathubutu kufikiria nje ya box kuhusu nafas ya mwenyekiti wa chama.
Hivyo ndivyo ulivyo nitakupiga hivyo hivyo usijaliWewe umeshalegea unajinyea hovyo. Hupati mrithi wa kuipiga mimavi nje nje.
Kwani umejua niliyemquote anaitwaje ? kabla ya kunishambulia angalia jina lake , ndio anavyojiita yeye mwenyeweWhy do u have to put "ngosha" in there, do u know him?
Mkiitwa wakabila, mnabisha. Bro/ who de fvck ever u are, nyinyi sahauni kuhodhi madaraka hii nchi.
Na mm ni mchaga
Hapo si ni kusambaza corona nchi nzima? Itabidi Mama sasa awe mkali.Tuliahidi hapa kwamba tutawaletea kila kinachojili kwenye Mkakati mpya wa CHADEMA wa OPERESHENI HAKI Unaoendelea nchini kwa kishindo, na kwa vile Ahadi ni deni basi hatuna budi kuitimiza.
Katika mwendelezo huo huo tunawaletea ziara ya Mwamba Mbowe (ambaye pia ni kiongozi wa kimila wa wamasai ) Musoma Mjini .
Baadhi ya Vijana wameanza kumuita FREEMAN OLE MBOWE kutokana na kupewa Uongozi wa Wamasai huko Arusha .
Jionee Mwenyewe, siongezi chochote
Freeman Ole wake Sabay a Mbowe😅😅Tuliahidi hapa kwamba tutawaletea kila kinachojili kwenye Mkakati mpya wa CHADEMA wa OPERESHENI HAKI Unaoendelea nchini kwa kishindo, na kwa vile Ahadi ni deni basi hatuna budi kuitimiza.
Katika mwendelezo huo huo tunawaletea ziara ya Mwamba Mbowe (ambaye pia ni kiongozi wa kimila wa wamasai ) Musoma Mjini .
Baadhi ya Vijana wameanza kumuita FREEMAN OLE MBOWE kutokana na kupewa Uongozi wa Wamasai huko Arusha .
Jionee Mwenyewe, siongezi chochote
Hii ni dalili njemaSafi Mbowe kwa kuvaa barakoa kwenye mkusanyiko wa watu wengi.
Ni jambo la kufurahisha kuona mnaweza kufanya mikutano bila bughudha
Chanjo ipo kachome. Acha porojo. Korona ni ugo jwa wa mlipuko unakuja na kuondoka.Mbowe pamoja na kukiri kuchomwa Chanjo ya corona, kavaa barakoa. Nyumbu wanashangilia huku wakitemeana mate. Hawaogopi tena corona
HecheMfano kama nani mwingine angefaa? Nipe majina matatu tu.
Wakisoma watu 50 wenye akili ni bora kuliko wakasome 1M matagaHizi nyuzi zetu tunachoangalia ni wangapi wamesoma , bila kujali kama wamechangia au La , sijui kama hili jambo unalifahamu
HakikaWakisoma watu 50 wenye akili ni bora kuliko wakasome 1M mataga
Erythrocyte un kazi kweli kweli! Bahati mbaya tumeshafahamu wewe ni shabiki wa CDM. Huna analytical brain ya mambo ya siasa. Huu umati ni mdogo kuliko uliojitokeza wakati wa kampeni za Lissu. Nini maana yake?Tuliahidi hapa kwamba tutawaletea kila kinachojili kwenye Mkakati mpya wa CHADEMA wa OPERESHENI HAKI Unaoendelea nchini kwa kishindo, na kwa vile Ahadi ni deni basi hatuna budi kuitimiza.
Katika mwendelezo huo huo tunawaletea ziara ya Mwamba Mbowe (ambaye pia ni kiongozi wa kimila wa wamasai ) Musoma Mjini .
Baadhi ya Vijana wameanza kumuita FREEMAN OLE MBOWE kutokana na kupewa Uongozi wa Wamasai huko Arusha .
Jionee Mwenyewe, siongezi chochote
Hii ni mikutano ya ndani tu mjomba , haya ni mapokezi ya mlangoni tuErythrocyte un kazi kweli kweli! Bahati mbaya tumeshafahamu wewe ni shabiki wa CDM. Huna analytical brain ya mambo ya siasa. Huu umati ni mdogo kuliko uliojitokeza wakati wa kampeni za Lissu. Nini maana yake?
Hamjifunzi maana ya mbio ndefu, na huo ndo umuhimu wa elimu. Unaanza mbio leo hii 2021! Ifikapo 2025 huna pumzi. Wakati huo unafahamu wenzako CCM wameweka mvinyo kwenye chupa mpya ambayo huna la kusema juu yake.
Katikisa kitu gani? Kumbe Chadema bado ipo?Tuliahidi hapa kwamba tutawaletea kila kinachojili kwenye Mkakati mpya wa CHADEMA wa OPERESHENI HAKI Unaoendelea nchini kwa kishindo, na kwa vile Ahadi ni deni basi hatuna budi kuitimiza.
Katika mwendelezo huo huo tunawaletea ziara ya Mwamba Mbowe (ambaye pia ni kiongozi wa kimila wa wamasai ) Musoma Mjini .
Baadhi ya Vijana wameanza kumuita FREEMAN OLE MBOWE kutokana na kupewa Uongozi wa Wamasai huko Arusha .
Jionee Mwenyewe, siongezi chochote
Msen@$$E huna lolote! hukumbuki mara ya mwisho nilikuvunya mshipa husimamishi tena! usije ukahangaika kujaribu wee ni bwabwa permanentHivyo ndivyo ulivyo nitakupiga hivyo hivyo usijali