Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Ukiangalia haraka haraka utafikir ni mapokezi ya mwenyekiti wa CHAUMMA ndugu Hashim Rungwe Spunda.
CDM wanaamini Mbowe pekee ndio mwenye akili timamu ndan ya Chama Chao ndio maana hawathubutu kufikiria nje ya box kuhusu nafas ya mwenyekiti wa chama.
CDM wanaamini Mbowe pekee ndio mwenye akili timamu ndan ya Chama Chao ndio maana hawathubutu kufikiria nje ya box kuhusu nafas ya mwenyekiti wa chama.