Pre GE2025 Mapokezi ya Jesca Kishoa kwa wananchi Kata ya Nkalakala akiwa na vazi la kijani na kusindikizwa na nyimbo za CCM

Pre GE2025 Mapokezi ya Jesca Kishoa kwa wananchi Kata ya Nkalakala akiwa na vazi la kijani na kusindikizwa na nyimbo za CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Jesca Kishoa amefika katika Kata ya Nkalakala Wilayani Mkalama Mkoani Singida na kufanya mkutano wa hadhara na wananchi pamoja na kusikiliza kero za wananchi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Kishoa amewasili katika mkutano huo leo tarehe 16 Februari, 2025 huku akiwa amevalia vazi lenye rangi ya kijani, sambamba na kusindikizwa na nyimbo zinazokiimba Chama cha Mapinduzi CCM

anasikiliza kero za wananchi ambazo zimeletwa na chama gani!?🤣🤣🤣🤣
 
mapokezi makubwa kuliko mwenyekiti mpya wa chadema dah :pedroP:
 
Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Jesca Kishoa amefika katika Kata ya Nkalakala Wilayani Mkalama Mkoani Singida na kufanya mkutano wa hadhara na wananchi pamoja na kusikiliza kero za wananchi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Kishoa amewasili katika mkutano huo leo tarehe 16 Februari, 2025 huku akiwa amevalia vazi lenye rangi ya kijani, sambamba na kusindikizwa na nyimbo zinazokiimba Chama cha Mapinduzi CCM

Anapokewa Kishoa lakini anaesifiwa ni Samia? Huyu mume wake ni yule wa PPP? Insemekana Esther Matiko nae wala hajifichi kuwa mapenzi yamehamia upande wa pili.

Amandla...
 
Huyu mama dogo msaliti sana, kipindi hicho mumewe Kafulila alihamia CCM akamind sana mpaka akaacha tumia jina la Kafulila na kuachana naye. Wabebaki kulea watoto.
Mtoto mdogo huyo wa 89 hana umama wowote, kanenepeana hovyo anazidiwa umri na Jokate.
 
Back
Top Bottom