CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kwa kifungu gani cha Biblia ? Huyo ni nyumba ndogo ya Kiswaswadu.Ni MKE Wake hadi sasa kwa mujibu wa Biblia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kifungu gani cha Biblia ? Huyo ni nyumba ndogo ya Kiswaswadu.Ni MKE Wake hadi sasa kwa mujibu wa Biblia
Marko 10:9Kwa kifungu gani cha Biblia ? Huyo ni nyumba ndogo ya Kiswaswadu.
Noma sana kumbe nayeye wamoYule anayepaka kiwi nyeusi kichwani
Kunywa metakeflin unaumwa weweKishoa ni mkubwa kisiasa kuliko Lissu.
Mrs Besigye umekuja kuwaje aisee? Dakika za nyongeza unapaisha penalty..Kunywa metakeflin unaumwa wewe
anasikiliza kero za wananchi ambazo zimeletwa na chama gani!?🤣🤣🤣🤣Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Jesca Kishoa amefika katika Kata ya Nkalakala Wilayani Mkalama Mkoani Singida na kufanya mkutano wa hadhara na wananchi pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?
Kishoa amewasili katika mkutano huo leo tarehe 16 Februari, 2025 huku akiwa amevalia vazi lenye rangi ya kijani, sambamba na kusindikizwa na nyimbo zinazokiimba Chama cha Mapinduzi CCM
ChademaKwani yeye ni mwanachama wa chama gani?
Lissu ndio kawageuza baadhi ya machadema kuwa mazombieWanasiasa wamewageuza wananchi wamekuwa kama mazombie..
Chadema alishafukuzwa siku nyingiChadema
Ccm ni kijani na njano so hajakoseaNi mwana CCM
Anapokewa Kishoa lakini anaesifiwa ni Samia? Huyu mume wake ni yule wa PPP? Insemekana Esther Matiko nae wala hajifichi kuwa mapenzi yamehamia upande wa pili.Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Jesca Kishoa amefika katika Kata ya Nkalakala Wilayani Mkalama Mkoani Singida na kufanya mkutano wa hadhara na wananchi pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?
Kishoa amewasili katika mkutano huo leo tarehe 16 Februari, 2025 huku akiwa amevalia vazi lenye rangi ya kijani, sambamba na kusindikizwa na nyimbo zinazokiimba Chama cha Mapinduzi CCM
Mtoto mdogo huyo wa 89 hana umama wowote, kanenepeana hovyo anazidiwa umri na Jokate.Huyumamadogo msaliti sana, kipindi hicho mumewe Kafulila alihamia CCM akamind sana mpaka akaacha tumia jina la Kafulila na kuachana naye. Wabebaki kulea watoto.
Hakuna namna anaweza kubaki salamaCcm ni kijani na njano so hajakosea