Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mchezaji wa Kimataifa wa Ufaransa na Timu ya PSG KYLLIAN MBAPE amewasili nchini Cameroon kwa ziara ya siku tatu. Apata mshangao mkubwa kwa maelfu ya watu waliojitokeza kumpokea Airport.
Mbape ameongozana na baba yake mzazi na akiwa nchini humo anatarajiwa kucheza mchezo mmoja wa kirafiki na akiwa na timu moja ya nchini humo.
Mbape ameongozana na baba yake mzazi na akiwa nchini humo anatarajiwa kucheza mchezo mmoja wa kirafiki na akiwa na timu moja ya nchini humo.