Mapokezi ya lambalamba za benki kwa baadhi ya wananchi

Mapokezi ya lambalamba za benki kwa baadhi ya wananchi

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Wadau mapokezi ya tozo za benki kwa wananchi yamepokelewa kwa namna tofauti, hivi sasa tunavyozungumza wapo baadhi ya wananchi wameshasafisha account zao za benki na kupeleka fedha zao kusikojulikana na kuacha account zao nyeupe kabisa wakihofia lambalamba.
 
Hata mimi baadaye naenda kukomba ka akiba kote kalikobaki. Akaunti nyingine wacha tu zibakie domant. Kiukweli sitarajii kuacha hata 100!
 
Hata mimi baadaye naenda kukomba ka akiba kote kalikobaki. Akaunti nyingine wacha tu zibakie domant. Kiukweli sitarajii kuacha hata 100!
Sisi tunafanya kazi bank tunaona jinsi wateja wanakuja kufagia account zao tangu juzi
 
Wadau mapokezi ya tozo za benk kwa wananchi yamepokelewa kwa namna tofauti, hivi sasa tunavyozungumza wapo baadhi ya wananchi wameshasafisha account zao za benk na kupeleka fedha zao kusikojulikana na kuacha account zao nyeupe kabisa wakihofia lambalamba.
Leo nimeenda CRDB bank, nimeshangaa. Nilikuwa na haraka, nikawa na wasiwasi nitachelewa kwa sababu ya foleni ambayo wakati wote nimeishuhudia. Lakini nilipoingia, nimeshangaa, hakuna wateja. Nilisubiria tu mtu mmoja mbele yangu, kisha nikaingia, nikatoa kiasi nilichotaka. Ndani ya fakika 15, kila kitu kilikuwa kimeisha.

Sijui kama ni sababu ya tozo au ni sababu ya sensa (watu wapo majumbani wanasubiria kuhesabiwa). Kadiri siku zitakavyoenda, tutajua effect ya tozo, ka ipo.
 
Leo nimeenda CRDB bank, nimeshangaa. Nilikuwa na haraka, nikawa na wasiwasi nitachelewa kwa sababu ya foleni ambayo wakati wote nimeishuhudia. Lakini nilipoingia, nimeshangaa, hakuna wateja. Nilisubiria tu mtu mmoja mbele yangu, kisha nikaingia, nikatoa kiasi nilichotaka. Ndani ya fakika 15, kila kitu kilikuwa kimeisha.

Sijui kama ni sababu ya tozo au ni sababu ya sensa (watu wapo majumbani wanasubiria kuhesabiwa). Kadiri siku zitakavyoenda, tutajua effect ya tozo, ka ipo.
Mimi nafanya kazi benk ya fulani tangu juzi Withdrawal zimekuwa kubwa sana, mtu ana million 5 kwenye account ana draw million nne laki nane, na sio mmoja, kasi ya withdrawal imeongezeka sana, wapo wateja wamekuja kukomba zote, mtu ana million 50 anachukua zote
 
[emoji1373][emoji1373][emoji1373]
 
Back
Top Bottom