Uchaguzi 2020 Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu katika mji wa Tunduma

Owen chimela

Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
93
Reaction score
230
Mji mkongwe wa kibiashara uliopo mpakani mwa Zambia na Tanzania ni Kama umetii amri baada ya shughuli zote kusimama huku Maelfu kwa maelfu ya wapenzi na wanachama wakiendelea kumlaki kwa nderemo na vifijo

Ni shangwe Tunduma haijawahi kutokea mapokezi ya kiongozi mkubwa wa chama cha aina yoyote ile kutokea tangu miongo kadhaa iliyopita.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…