Owen chimela
Member
- Feb 24, 2012
- 93
- 230
Umeiona nyomi ya Kagera lakini?Ni Yeye 2020
Watoto wa shule....Umeiona nyomi ya Kagera lakini?
Mbona hapo mbozi ni wanafunzi watupu?!Watoto wa shule....
CCM wamekwisha kabisa hakuna namna nyingine zaidi ya kuwaokoaHahahaa Hivi Siasa Unaijua wewe Wenzenu CCM wanawapiga Kura nyie mnamashabiki Lowassa aliondoka na Asilimia zake 30 kazirudishwa CCM so mwaka huu mkipata 20% mshukuru sana asee Maana CCM itawapiga kichapo cha mbwa koko
Imekuuma eeh, endelea kushikilia ukuta hivyo hivyo mpaka akili ikae sawaHahahaa Hivi Siasa Unaijua wewe Wenzenu CCM wanawapiga Kura nyie mnamashabiki Lowassa aliondoka na Asilimia zake 30 kazirudishwa CCM so mwaka huu mkipata 20% mshukuru sana asee Maana CCM itawapiga kichapo cha mbwa koko
mkiiba labdaMaskini! Lisu hapati zaidi ya 20% ya kura s asa sijui huo ushindi ni wa wapi mnaoungelea
Ha ha ha ha ha si wale walioenda kumpa ukweli Bwashee kuwa hawampi kura au ipi tena hyo. Mkuu Tundu kasema ataenda kule kuongea nao ili baada ya oktoba 28 akawakombolee watu wao. Ni mwendo wa Mpela Mpela wala hakuna kutema mate wala kuchimba dawaUmeiona nyomi ya Kagera lakini?
Unakumbuka maneno ya msukule mwenzio polepole wikimbili kabla ya kampeni na wiki mbili baada ya kuanza kampeni.... 🤔🤔Maskini! Lisu hapati zaidi ya 20% ya kura sasa sijui huo ushindi ni wa wapi mnaoungelea
Kwa nini mnaweka picha za kutengeneza? Mtakiletea aibu chama chetu huko mbeleni. Maana mitaani huku hatuoni hata pilika za wagombea wa chama chetu.