Uchaguzi 2020 Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu katika mji wa Tunduma

..mimi sijasema mikutano ya Jiwe haina nyomi.

..nimesema Jiwe hana hoja za kuwashawishi wanaohudhuria mikutano yake.

..mara nyingi Jiwe hutumia lugha za matusi, na kauli za karaha, ktk mikutano yake.
Mikutano ya CCM bila fiesta CCM hawaendi watu, CCM bila wasanii wa miziki hakuna mtu atakwenda huko kuwasikiliza
 
Mwaka 2020 ni mwaka mwingine ni mwaka ambao tekinologia imebadilika watu wamepevuka acha kufananisha watu hao na moto wa Tundu lisu ambao wapiga kura wameukubali tokea moyoni baada ya mateso ya CCM kwa miaka mitano
 
Ana nafasi nchi gani?
 
Mwaka 2020 ni mwaka mwingine ni mwaka ambao tekinologia imebadilika watu wamepevuka acha kufananisha watu hao na moto wa Tundu lisu ambao wapiga kura wameukubali tokea moyoni baada ya mateso ya CCM kwa miaka mitano
Duh...Moto wa Tundu Lissu?! Ok tusubiri
 
Ukiangalia kwa makini hii mikutano ya hivi vyama vikubwa Kila Mgombea akienda anapata wahudhuriaji karibia sawa na mwingine. Hii inamaana kuwa, kuna kundi kubwa la watu linahudhuria mikutano yote....
Nafikiri Ushindi utategemea zaidi WAJUMBE!!!!!
CCM husomba watu wanafunzi kwa nguvu kuwapeleka mikutanoni
 
Aisee chadema hadi aibu..

Hivi Lisu atashinda urais wa wapi?
Twitter kwa kigogo ama?
Aibu ipi? Hata kama unasaka uteuzi sidhani kama mtukufu mwenyekiti wa CCM atakupa uteuzi kwani kagundua hujuia hata kumtetea kihalisia
 
Endelea kuishi kwa kukariri. Mwambie Jiwe achote hela za kutosha Kama Al Bashir maana hapo October 28 atatujua hasa watanzania ni kina nani
 

Habari zenu tunazo
 
Watu mnajidanganya Sana, mpaka sasa hakuna chama cha kuishinda CCM hii ya Magufuli. Mnajifariji bure, Lissu hata kura alizowahi pata lowasa hatapata. CCM babalao. JPM tangu aanze kampeni ni mwendo wa nyomi mwanzo mwisho.
Nyomi la wanafunzi?
 
Genge la wahutu halitakubali kushindwa mpaka litakaposababisha bloodshed ndio likubali kuna kushindwa na kwamba nchi ni ya wote na litakapojua kuwa watz wanaweza kutetewa na binadamu wengine nje ya mipaka hii
 
Ccm waendelee na mikoa yao yenye mbulula wengi huko kanda ya ziwa,Kati,na baadhi ya maeneo yenye wajinga wengi lakini mikoa ya Mbeya,Songwe huwa hawacheki na ngedere shambani
 
Genge la wahutu halitakubali kushindwa mpaka litakaposababisha bloodshed ndio likubali kuna kushindwa na kwamba nchi ni ya wote na litakapojua kuwa watz wanaweza kutetewa na binadamu wengine nje ya mipaka hii
Tuliwaona kwenye mkutano wa bomba la mafuta na m7,wanatambuana hili genge ni hatari sijui akina Jk ilikuaje wakashindwa kukabidhi nchi kwenye mikono salama
 
Remi must save marua land he is our savior
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…