Ole wao NEC wakosee mahesabu wajifanye eti wanaiba au hawakutaki kumtangaza mgombea aliyeshinda kiuhalali, wao, CCM na Polisi wao, watajuta. Tumefanyiwa mambo ya ajabu ajabu mengi miaka hii 5, sasa ujinga wabaki nao CCM, na wapambe wao NEC na PoliceCCM. Wananchi tunasema, kuonewa, kugandamizwa na kuibiwa kura, imetosha.Only NEC ndio wanaweza kuwaokoa CCM hapo 28 octoba. Njia nii nyeupe kwa Lissu na Chadema.
Ni Yeye2020
Ubinafsi na unafiki na ukosefu wa elimuTuliwaona kwenye mkutano wa bomba la mafuta na m7,wanatambuana hili genge ni hatari sijui akina Jk ilikuaje wakashindwa kukabidhi nchi kwenye mikono salama
Mdharirishaji...Na mtesaji
Mnadhani October 28 haifiki....?Subiri October 28 utajua tunaenda wapi na Magufuli.
Mwende wapi na fisadi mharibifu wa uchumi wa nchi na watu wake?Nginja nginja mpaka ikulu ni mwendo wa Tanzania ya kijani. View attachment 1571584
Jamaa ni balaaNa wakimbizi
Htr sn snAiseee !!
Unakumbuka maneno ya msukule mwenzio polepole wikimbili kabla ya kampeni na wiki mbili baada ya kuanza kampeni....Mwache Lisu aendelee kupigania 20 % yake
Wako wapi... Kwani shule zililazimishwa kufunga?Mbona hapo mbozi ni wanafunzi watupu?!
Nna uhakika nilishaona coment yako inayo sema Lisu hafikishi hata 5%! Naona unaongeza tu taratibu kama mnada wa kanisa! Naomba ukifika 60%, usitishe ubashiri, zitatosha kuunda serikali!Maskini! Lisu hapati zaidi ya 20% ya kura sasa sijui huo ushindi ni wa wapi mnaoungelea
Mafuso makubwa kama hili??View attachment 1571559
Silinde naye siku hizi anasombewa watu.!!Check David Silinde mgombea CCM alivyo bip CHADEMA TUNDUMA
AminaHistory imeandikwa. Hongera Tundu Lissu kwa kuaminika kwa Watanzania kiasi hiki.
Mtahangaika sana mwaka huu kisa LissuSilinde naye siku hizi anasombewa watu.!!
Watu walikuwa wachache Sana na uzr nilikuwepo ...aisee Silinde mtafutieni kz ya kufanya , Tunduma hapawezi na hawezi kumtoa MwakajokaSilinde naye siku hizi anasombewa watu.!!
Sema majeshi na polis na wakurugenzi kwani hao ndio wanaokula keki ya taifa hili lkn hakuna mtanzania hata mmoja mwenye akili timamu atakae wachagua nyinyiWatanzania wenye mapenzi mema na nchi yetu tutamchagua Magufuli uyo Lissu wenu atasoma namba vizuri.
Kama ambavyo alidhani miaka mitano haitaishaMnadhani October 28 haifiki....?