CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia ni nyingi sana siku hizi
Hayo ni mabango ya zamani ya uchaguzi ambayo sefu alikuwa anahujumu yakibaki zanzibar.Mmmmh mbona picha mbili za mwisho ni za zamani mkuu, propaganda hii cuf inawanufaisha nini
Lipumba Jana alipita kariakoo?Hayo ni mabango ya zamani ya uchaguzi ambayo sefu alikuwa anahujumu yakibaki zanzibar .
Badala ya kuleta huku yabandikwe
Chama mfu, mbona haendi kwao Tabora?Hizi picha 2 za chini ni picha za zamani na hiyo ya juu ni close up phoo. Natuma drone video tuone uhalisia
Kama Mbowe alianguka mwenyewe kwa ulevi wake alafu akatangaza amepigwa na wasiojulikana ili apate kiki ,hata hizo ofisi zimechomwa na Chadema ili wapate kiki vizuri.
Mkuu unapigwa mambo si bure, umeandika nini sasa hapa.Kama Mbowe alianguka mwenyewe kwa ulevi wake alafu akatangaza amepigwa na wasiojulikana ili apate kiki ,hata hizo ofisi zimechomwa na Chadema ili wapate kiki vizuri.
Nabii hakubaliki kwao! 😎😎Chama mfu, mbona haendi kwao Tabora?